Naanza kuvaa miwani tinted wasichana wamezidi urembo hapa mjini, nategeka

Naanza kuvaa miwani tinted wasichana wamezidi urembo hapa mjini, nategeka

Mshinga

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
3,532
Reaction score
1,126
unawezaje kuwa mwanaume mwenye roho ngumu hata wanapokatisha wasichana wazuri na warembo mbele yako?

huu umekuwa mtihani mkubwa kwangu hasa ukizingatia kuwa kwa sasa wasichana warembo wamejaa kila kona ukikatisha hawa.

huu urembo unaleta shidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,ni bora zamani mambo ya urembo hayakuwa kipaumbele na wasichana wazuri kwa asili ni wachache, ungeweza zamani kukaa hata miezi kadhaa bila kuona msichana wa kukutia kiwewe. SAIZI KILA KONA, UKIGEUKA KULIA WAPO WAREMBO HASWAA, KUSHOTO PIA, MBELE NA NYUMA.


NANUNUA MAWANI MEUSIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII NIVAE NISIWAONE KABISAAA WANANITIA MAJARIBUNI BURE
 
Aisee posta mpya utaona wakigombea daladala au utaona wakichambua mitumba mwenge,ni shida!
 
Hiyo miwani utakayonunua ndugu ni yakuzuia kuone warembo tu au watu wote?
 
Usimtazame mwanamke machoni pake, usijetatanishwa katika madai yake.
Uzuri wake umewaangusha wengi,
Nao mvuto wake umefunga ufahamu wa wenye akili nyingi

^^
 
unawezaje kuwa mwanaume mwenye roho ngumu hata wanapokatisha wasichana wazuri na warembo mbele yako?

huu umekuwa mtihani mkubwa kwangu hasa ukizingatia kuwa kwa sasa wasichana warembo wamejaa kila kona ukikatisha hawa.

huu urembo unaleta shidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,ni bora zamani mambo ya urembo hayakuwa kipaumbele na wasichana wazuri kwa asili ni wachache, ungeweza zamani kukaa hata miezi kadhaa bila kuona msichana wa kukutia kiwewe. SAIZI KILA KONA, UKIGEUKA KULIA WAPO WAREMBO HASWAA, KUSHOTO PIA, MBELE NA NYUMA.


NANUNUA MAWANI MEUSIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII NIVAE NISIWAONE KABISAAA WANANITIA MAJARIBUNI BURE


mkuu,hapa mjini usipoangalia unaweza ukajenga nyumba ya milion 60 katika mapaja ya mtu.kila ukichuma fedha zinaishia mapajani mwa mwanamke.aka utakuwa ukihonga ili upate kanyampasila,hatimaye unajikuta milions of tshs umeziweka mapajani mwa bidada ilihali we huna kitu.

chezea bidada ya mujini wewe!!!
 
Vaa miwani usione gere.
10300311_759366174097647_5097461346499795290_n.jpg

~
keyshia_cole_193639m.jpg
 
Usimtazame mwanamke machoni pake, usijetatanishwa katika madai yake.
Uzuri wake umewaangusha wengi,
Nao mvuto wake umefunga ufahamu wa wenye akili nyingi
^^
 
Mwanamke mrembo ni mbaya kwa sababu ubaya wake umefichwa na huo urembo wake!take care
 
Miwani haisaidii kama mijicho yako kama indicator ya isuzu. kwanza jina lako tu! hassan maboxer ha ha utayavua sana
 
Back
Top Bottom