Naanza kuwaza weledi wa bidada wa Ikulu na team yake

Naanza kuwaza weledi wa bidada wa Ikulu na team yake

Janja weed

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2020
Posts
3,000
Reaction score
5,606
Hata kama ni haraka unawezaje kuandika Press release ya ajabu namna ile tena inatoka Ofisi kuu ya Nchi , Nanukuu baadhi ya maneno Para ya Kwanza, " Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe.Nurdin Hassan Babu kufuatia kifo cha aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa huo Dkt. Tixon Nzunda kufuatia ajali ya gari"

Sasa najiuliza hiyokufuatia kufuatia ndio nini? Hivi angesema kilichotokea kwa ajali ya gari then akataja jina eneo ingekua vipi? ama ndio uandishi wa kisasa? naomba povu kwa wanahabari tu na waandika content kama mimi. Naanza kuwaza weledi wa huyo bidada na team yake ndiomaana hata marehemu aliteuliwa last time.
 
Halafu Dereva mbona hatajwi yeye sio mtumishi wa serikali ? hembu wawe wana warecognise basi ndio maana hawana moral ya kazi.Kama mtumishi wa serikali naye atajwe jamani
 
Sioni kosa hapo, hayo maneno mawili unaweza kuyatumia lolote kati ya hayo na maana ya ujumbe ikabaki palepale.

Mara nyingi kwenye matangazo ya vifo redioni hupenda kuuumia neno "kufuatia" kama alilotumia huyo mdada bonge.
 
Back
Top Bottom