Vinci Dayot Upamecano
JF-Expert Member
- Nov 11, 2020
- 524
- 1,288
Ishini sana, Tabu sio jambo jema lakini hatuna budi kuzipitia.
Kuna kibanda nimekiotea kipo soko la mtaani, hilo soko halina watu wengi saana ila pilika pilika zipo kimtindo pamoja na makazi ya watu sio uswahilini sana sio ushuani sana ni changanyikeni flani hiv nataka niweke kambi hapo...
Nimeuza bajaj niliyokuwa nakorogea, sikupenda ni baada ya songombingo flani kunivagaa nimejikuta naisukuma kwa Bei ya hasara (Tsh4,470,000/) ila nimebakiwa na kama 1M na points kama mtaji.
1. Sina uzoefu ndiyo naanza kazi
2. Sina mishe nyingine pembeni nitategemea hapo
3. Bado sijajua nijikite zaidi na nafaka gani, mawazo yangu; (Mchele, Maharage, Mahindi ya makande, Mbaazi, Kunde, Mafuta ya Alizeti na Karanga labda na Dagaa wa mwanza)
4. Bado sijajua napata wapi hizo nafaka
5. Changamoto zake + hasara
6. Mbinu za kuepuka point no.5
7. Faida zake zikoje [emoji4][emoji39][emoji847]
8. Mengineyo...
Semeni chochote nipate kupona
(Wabilah toufeeq)
Silog off Y
Kuna kibanda nimekiotea kipo soko la mtaani, hilo soko halina watu wengi saana ila pilika pilika zipo kimtindo pamoja na makazi ya watu sio uswahilini sana sio ushuani sana ni changanyikeni flani hiv nataka niweke kambi hapo...
Nimeuza bajaj niliyokuwa nakorogea, sikupenda ni baada ya songombingo flani kunivagaa nimejikuta naisukuma kwa Bei ya hasara (Tsh4,470,000/) ila nimebakiwa na kama 1M na points kama mtaji.
1. Sina uzoefu ndiyo naanza kazi
2. Sina mishe nyingine pembeni nitategemea hapo
3. Bado sijajua nijikite zaidi na nafaka gani, mawazo yangu; (Mchele, Maharage, Mahindi ya makande, Mbaazi, Kunde, Mafuta ya Alizeti na Karanga labda na Dagaa wa mwanza)
4. Bado sijajua napata wapi hizo nafaka
5. Changamoto zake + hasara
6. Mbinu za kuepuka point no.5
7. Faida zake zikoje [emoji4][emoji39][emoji847]
8. Mengineyo...
Semeni chochote nipate kupona
(Wabilah toufeeq)
Silog off Y