Naanzaje biashara ya kuuza vyakula vya mifugo?

Debs3

New Member
Joined
Feb 18, 2017
Posts
4
Reaction score
1
Wadau,

Nafikiria kuanzisha biashara ya kuuza vyakula vya mifugo mfano pumba, dagaa, damu, mashudu ya alizeti na ya pamba n.k. Nishaurini nianzie wapi, mtaji mzuri ni kiasi gani, na vitu hivi navipata wapi kwa bei nafuu.

Nitawashukuru sana
 
Mtaji ulionao ndio utakaokufanya uamue kufanya hiyo biashara kwa ukubwa upi..
 
Mtaji ulionao ndio utakaokufanya uamue kufanya hiyo biashara kwa ukubwa upi..
Mkuu mtaji nilionao ni 1M...naomba mawazo kama una idea yoyote kuhusu hii biashara
 
Wale wenye uelewa kuhusu hii biashara, nifungueni macho
 
Wale wenye uelewa kuhusu hii biashara, nifungueni macho

Kuna taarifa za msingi bado haujaziweka kwenye tangazo lako, mfano, haujasema unapatikana wapi au hiyo biashara unataka kuifanyia wapi, je una sehemu ya kufanyia biashara kwa maana ya chumba/frem tuanzie hapo. Ninaweza kukuunganisha na jamaa yangu yeye anafanya hizo habari na alianzia chini kabisa. Nijibu hayo kabla hatujaongea sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…