Naombeni msaada wana jf, nataka kubadili jina langu la uanachama hapa jf, nafanyeje?? Naombeni steps za kufanya
Katika kuendeleza harakati zangu za kutumia majina sahihi hapa jf, hata mimi naomba msaada wa hili nami nitumie jina langu halisi ambalo ni MARTIN PETER