Nabadilishana kiwanja kwa gari

Nabadilishana kiwanja kwa gari

VIWANJA VINAUZWA KILUVYA KWA KOMBA
a/ Mita 19x60 [SQM 1140]
Umbali ni km 1 tu kutoka morogoro road

b/ Mita 30x50 [SQM 1500]
Kiwanja kipo umbali wa km 1
Kutoka service road ya morogoro road Bei yake mln 45.Kinapakana na barabara ya mtaa

c/Mita 22x68 [SQM 1496]
Kipo umbali km 1 kutoka service road ya morogoro road.Bei yake mln 45
0675 065906
 

Attachments

  • 20240624_110527.jpg
    20240624_110527.jpg
    3.7 MB · Views: 7
  • 20240624_111430.jpg
    20240624_111430.jpg
    5.1 MB · Views: 7
  • 20240624_110522.jpg
    20240624_110522.jpg
    4.7 MB · Views: 7
  • 20240624_111501.jpg
    20240624_111501.jpg
    4.9 MB · Views: 5
  • 20240624_113138.jpg
    20240624_113138.jpg
    4.9 MB · Views: 8
Tupunguze ujuaji mtoa mada kaandika kitu kinachoeleweka sa sjui ttzo lenu nn

Kasema anabadili gar kwa kiwanja na gari tayar kashasema ni aina gan na model gan sasa ushauri na ujuaji wa nn.
 
Kazi kazi
Nina nyumba Kali inauzwa iko Tabata Kisukuru Ina hati Tsh250ML

Nina kiwanja kinauzwa Tabata Kisukuru kina faa kujenga Sheli Tsh50ML

Nina kiwanja maeneo ya Tabata Majichumvi 20x20 kizuri Sana Tsh30ML Nikiwanja Cha pili kutoka Barabara ya zege
0675 065906
 
Viwanja vina ukubwa gani?
Kiwanja kinafaa kwa sheli kina Sqm 600 ila Nyuma yake unaweza kupanunua kuongeza ukubwa wa kiwanja chako
Kwa mtu mwenye akili ya biashara sio eneo la kuacha Lami inapita siku sio nyingi hapo na kiwanja kinatazama barabara kubwa ambayo lami inapita
 
Sema nini..kimfaacho mtu chake..mimi ningeuza gari ili ninunue ardhi na si vinginevyo
Huko site wqkati wa unenzi utaenda kwa miguu utawakoromeaje mafundi wakiboronga
 
Kiwanja kinafaa kwa sheli kina Sqm 600 ila Nyuma yake unaweza kupanunua kuongeza ukubwa wa kiwanja chako
Kwa mtu mwenye akili ya biashara sio eneo la kuacha Lami inapita siku sio nyingi hapo na kiwanja kinatazama barabara kubwa ambayo lami inapita
Swali anaulizwa mtoa mada unajibu wewe, anzisha Uzi wako
 
Nina viwanja Chanika na Mbezi Beach Salasala. Kiwanja cha Mbezi beach kina thamani ya ml 30, na cha Chanika thamani ya 18m. Nataka gari aina ya rumion. Gari iwe imesimama. Nampa mtu kimoja kati ya viwanja hivyo anipe gari
 
Back
Top Bottom