Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Sawa mke wa nabi nimekusikiaACHA KUCHUKUA Taarifa za kitoto na kuleta hapa jukwaani.
Umesikia wapi Nabi ALISEMA hivyo.
Unaweza ukaleta source ya Hiyo habari?????.?
FICHA UJINGA.
Yuko sahihi kabisa. Kwa mara ya kwanza kabisa siku ile Bacca alikutana na mjanja mwenzake. Hivyo wakati mwingine anatakiwa kuwa makini.“Ilipotolewa ile penalti nilihisi naweza kuzimia ilinishtua sana. Unajua ilikuja wakati tunatafuta bao na hatukutakiwa kuruhusu bao lakini jambo zuri kipa wetu (Diarra) alikuwa na siku nzuri kazini.
“Nimemwambia Bacca kuanzia sasa sitaki kumuona tena anafanya kitu kama kile, sitaki kuona anafanya tackling ndani ya eneo la hatari au hata Karibu na hapo Kuna wakati huwezi kufanikiwa kama kilivyotokea.
“Nampenda sana Bacca ni beki ambaye anacheza kama mwanajeshi uwanjani muda wote anatamani kukaba hataki kuona mshambuliaji
anapata utulivu lakini anatakiwa kuendelea kufanyia kazi dosari ambazo tunaendelea kuzifanyia kazi kwake.”
View attachment 2649903
Mbona kama una hasira za mkizi! Ishu ndogo tu kama hii, unatokwa mapovu. Ni msongo wa mawazo, au kuna kilevi unatumia!ACHA KUCHUKUA Taarifa za kitoto na kuleta hapa jukwaani.
Umesikia wapi Nabi ALISEMA hivyo.
Unaweza ukaleta source ya Hiyo habari?????.?
FICHA UJINGA.
Mvurugo🤣🤣🤣Mbona kama una hasira za mkizi! Ishu ndogo tu kama hii, unatokwa mapovu. Ni msongo wa mawazo, au kuna kilevi unatumia!
Au ndiyo kusema ule mkataba wetu wa bandari, umemtoa kabisa kwenye mstari!! 😃Mvurugo🤣🤣🤣