kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Kabla ya mechi ya Yanga na Al Hilal niliandika kuwa, kuna uwezekano mkubwa wa Al Hilal wasicheze mpira wa kushambulia zaidi. Watacheza mpira wa kulinda zaidi kwa hiyo basi watakuwa wengi nyuma na itakuwa vigumu kwa Yanga kupita na mpira.
Nikasema ili Yanga ashinde kuna njia mbili Nabi anatakiwa acheze. Ya kwanza, akubali wapinzani wake wamiliki sana mpira katikati, mana hii itawapa uwezo na nguvu za wao kupanda sana na kuacha mabeki wachache nyuma. Na ya pili ni kuchezesha wachezaji wengi katikati wenye uwezo wa ku piga mbali.
Maana hata wakijilinda sana, wasitegee kuwa mpira utakuwa unafika langoni kwao. Kwa ufupi Al Hilal kwa mpira wao ule tusitegee kuwaona wamefika mbali. Wana mpira wa uoga sana.
Nikasema ili Yanga ashinde kuna njia mbili Nabi anatakiwa acheze. Ya kwanza, akubali wapinzani wake wamiliki sana mpira katikati, mana hii itawapa uwezo na nguvu za wao kupanda sana na kuacha mabeki wachache nyuma. Na ya pili ni kuchezesha wachezaji wengi katikati wenye uwezo wa ku piga mbali.
Maana hata wakijilinda sana, wasitegee kuwa mpira utakuwa unafika langoni kwao. Kwa ufupi Al Hilal kwa mpira wao ule tusitegee kuwaona wamefika mbali. Wana mpira wa uoga sana.