Nabi kapigwa chini FAR Rabbat?

Nabi kapigwa chini FAR Rabbat?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Duh kama ni kweli basi mganga anae mroga Nabi sio tapeli. Kwa sababu kila akijaribu kuipeleka timu makundi Afrika inabuma.

# Yanga inafanikiwa kwa sababu ya mipango makini ya kiongozi makini Injia Hersi Said

1696903282062.jpeg
 
Kabla ya Nabi wamepita makocha wangapi pale YANGA SC na wakashindwa kuleta mafanikio?

Injinia wa magodoro hana msaada wowote pale Yanga SC kwa sababu hakuna alichokifanya.

Mpira wetu una pesa kutoka kwa makampuni yameweka pesa ya kudhamini ligi, hivyo vilabu vyetu walau vinaweza pambania mchezaji kutoka pande yoyote ndani ya Africa na wakampata.

Simba Sc & Yanga Sc wanaweza fanya zaidi ya TP Mazembe, Vita Club, Mamelod n.k ni suala la kujitoa na kuweka tamaa pembeni.
 
Duh kama ni kweli basi mganga anae mroga Nabi sio tapeli. Kwa sababu kila akijaribu kuipeleka timu makundi Afrika inabuma.

# Yanga inafanikiwa kwa sababu ya mipango makini ya kiongozi makini Injia Hersi Said
Labda awe ameondoka jana, au leo. Mchezo wa juzi dhidi ya UNION TOUARGA, alikuwepo. Ilivumishwa aliondoka na Morrison wake!

IMG-20231009-WA0001.jpg
 
Kabla ya Nabi wamepita makocha wangapi pale YANGA SC na wakashindwa kuleta mafanikio?
Injinia wa magodoro hana msaada wowote pale Yanga SC kwa sababu hakuna alichokifanya.

Mpira wetu una pesa kutoka kwa makampuni yameweka pesa ya kudhamini ligi, hivyo vilabu vyetu walau vinaweza pambania mchezaji kutoka pande yoyote ndani ya Africa na wakampata.

Simba Sc & Yanga Sc wanaweza fanya zaidi ya TP Mazembe, Vita Club, Mamelod n.k ni suala la kujitoa na kuweka tamaa pembeni.
"Injinia wa magodoro hana msaada wowote pale Yanga SC kwa sababu hakuna alichokifanya."

Sijajua kama umefanya makusudi au kwa bahati mbaya kutotambua juhudi za Eng.Hersi kwenye mafanikio ya Young Africans.

Katika mwaka wake wa kwanza wa uongozi timu imecheza fainali ya CAFCC na kuchukua vikombe vyote vya ndani.

Kwenye Rank za CAF,Eng Hersi ameipokea timu ikiwa ya 75 na pointi 0.5 ila sasa hivi kwenye uongozi wake timu ni ya 16 ikiwa na pointi 20.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla ya Nabi wamepita makocha wangapi pale YANGA SC na wakashindwa kuleta mafanikio?
Injinia wa magodoro hana msaada wowote pale Yanga SC kwa sababu hakuna alichokifanya.

Mpira wetu una pesa kutoka kwa makampuni yameweka pesa ya kudhamini ligi, hivyo vilabu vyetu walau vinaweza pambania mchezaji kutoka pande yoyote ndani ya Africa na wakampata.

Simba Sc & Yanga Sc wanaweza fanya zaidi ya TP Mazembe, Vita Club, Mamelod n.k ni suala la kujitoa na kuweka tamaa pembeni.
Alafu zamani nilifikiriaga mtu akiandika marefuuuuu basi ndio kipanga Ana akili haswa kumbe maweeee!

Kwamba Hersi hana msaada pale Yanga Ila inafanikiwa sababu makampuni yanadhamini ligi, Asa mbona Ihefu haishiriki kombe la CAF?
 
Hakuna KIONGOZI Bora WA MPIRA Tanzania kama Eng Hersi kwa sasa.

1. Usajili Bora WA wachezaji.
Bangala , Mayele, Azizi ki, Aucho na zoazoa ni Top top players.

2 Mafaniko ndani ya Club.
Kupata LIGI UBINGWA WA LIGI KUU, FA, Ngao ya Jamii, 202-21 -2022.
Kucheza Fainali CAFCC.

3.usajili WA WANACHAMA ndani ya club kwa Mfumo Bora na wakisasa electronics.

4. Usimamizi Bora WA Jersey na mechandize za Club

Nyingine nitamalizia Baadaye.......
 
Alafu zamani nilifikiriaga mtu akiandika marefuuuuu basi ndio kipanga Ana akili haswa kumbe maweeee!

Kwamba Hersi hana msaada pale Yanga Ila inafanikiwa sababu makampuni yanadhamini ligi, Asa mbona Ihefu haishiriki kombe la CAF?
Hersi ni nani na mipango yake pale YangaSC hadi sasa amafanikiwa kwa lipi? Toa wafadhili na wadhamini tuone kama YangaSC atafika popote. YangaSC na SimbaSC bado hazijiwezi kiuchumi wao kama timu bali waafadhili na wadhamini wanaotoa pesa ndio wanawafanya wawe walivyo na wakijiondoa yatatokea yale yale Mahboub Manji.
 
"Injinia wa magodoro hana msaada wowote pale Yanga SC kwa sababu hakuna alichokifanya."

Sijajua kama umefanya makusudi au kwa bahati mbaya kutotambua juhudi za Eng.Hersi kwenye mafanikio ya Young Africans.

Katika mwaka wake wa kwanza wa uongozi timu imecheza fainali ya CAFCC na kuchukua vikombe vyote vya ndani.

Kwenye Rank za CAF,Eng Hersi ameipokea timu ikiwa ya 75 na pointi 0.5 ila sasa hivi kwenye uongozi wake timu ni ya 16 ikiwa na pointi 20.



Sent using Jamii Forums mobile app
Fungua hiyo akili YangaSC & SimbaSC wanatia aibu tu .. yaani miaka yote anatambulika mwakilishi wa mfadhili badala ya klabu? Mafanikio yote ya Yanga au Simba ni ya wadhamini na si ya klabu hilo, kwani bila mfadhili kutoa pesa hakuna kitakachofanyika zaidi ya harambee.
 
Kabla ya Nabi wamepita makocha wangapi pale YANGA SC na wakashindwa kuleta mafanikio?
Injinia wa magodoro hana msaada wowote pale Yanga SC kwa sababu hakuna alichokifanya.

Mpira wetu una pesa kutoka kwa makampuni yameweka pesa ya kudhamini ligi, hivyo vilabu vyetu walau vinaweza pambania mchezaji kutoka pande yoyote ndani ya Africa na wakampata.

Simba Sc & Yanga Sc wanaweza fanya zaidi ya TP Mazembe, Vita Club, Mamelod n.k ni suala la kujitoa na kuweka tamaa pembeni.
Chuki chuki chuki
Husuda husuda husuda
Kutojiamini kutojiamini kutojiamini
Kisokorokwinyo kisokorokwinyo
 
Hersi ni nani na mipango yake pale YangaSC hadi sasa amafanikiwa kwa lipi? Toa wafadhili na wadhamini tuone kama YangaSC atafika popote. YangaSC na SimbaSC bado hazijiwezi kiuchumi wao kama timu bali waafadhili na wadhamini wanaotoa pesa ndio wanawafanya wawe walivyo na wakijiondoa yatatokea yale yale Mahboub Manji.
Mental health is really
 
Back
Top Bottom