Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Aliingia kwenye ngome katika hifadhi ya wanyama ambapo simba Na wanyama wengine hatari waliwekwa huku akiwa na imani kwamba Mungu atafunga midomo yao.
Nabiii huyu alipoingia basi Simba wale walimshambulia hadi kufariki dunia .