FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #301
Wanaangamizwa sio hata WanaangamiaBiblia inaposema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa haikukosea. Lakini bado utashangaa wanaojiita walokole a.k.a wapendwa wataendelea kumuamini tu! Hawa jamaa ni wafanyabiashara tuu.[emoji36]
Mungu akubariki sana coz hizi mbwa zinanyonya sana wa Tz wenye stressTutaendelea na huu uzi hadi watu akili ziwakae sawa, hatutachoka kukumbushana juu ya hawa matapeli wa imani..!!!!
Tutaendelea na huu uzi hadi watu akili ziwakae sawa, hatutachoka kukumbushana juu ya hawa matapeli wa imani..!!!!
Hahahah, tuwaeleweshe kwa upole tu, watarlewa taratibu...Halafu bado kuna mbwa bado wanawaami ni hawa mason shame on you maamae zao fanya kazi hakuna miujiza feki wajinga ndio waliwao mxiuuuuuuu
Kesi yake imefikia wapiHahahah, tuwaeleweshe kwa upole tu, watarlewa taratibu...
Mwingine alinywesha waumini jik na kuwapulizia dawa ya kuua wadudu x pel eti anafukuza mapepoBado ipo mijinga mingi tu kwenye hiyo dini inaamini hayo. Ni mijinga tu.