Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika nini hapa wewe mamaaaKama mmemleta huko chake ndo kimeisha au kimenuka.
[emoji106][emoji4]kumekucha kama watu wanakuletea pesa inatakua kuwekeza tu maana wajinga ni wengi.
Ni kazi ngumu inatakiwa uwe na roho ya kishetaniKama kutapeli ni kazi rahisi anza nawe mkuu kutapeli.. 😅😅😅
Nijuavavyo jamaa amewekeza sana Sudan, na SA kipindi wananuweka kesi na mambo mengine walimtaifisha kila kitu ila baada ya mda jamaa amesimama tena..
wivu tuuNi kazi ngumu inatakiwa uwe na roho ya kishetani
Mkuu muda mwingine tuache unazi tuongee ukweli, Mr.Bushiri ana tuhuma nzito mno ndani ya SA including raping na fraud, na amekimbia dhamana, kama anajiona yupo sahihi why akimbie bail?tusilifanye jukwaa hili kama kijiwe..facts ziwepoKama kutapeli ni kazi rahisi anza nawe mkuu kutapeli.. 😅😅😅
Nijuavavyo jamaa amewekeza sana Sudan, na SA kipindi wananuweka kesi na mambo mengine walimtaifisha kila kitu ila baada ya mda jamaa amesimama tena..
Unazi wangu upo wapi hapo ? Nimesema alikuwa na case SA, ila kawekeza Sudan sana, pia SA walimfilisi ( Taifisha ) ila baada jamaa baada ya mda mfupi karudi tena. Unazi upo wapi hapoMkuu muda mwingine tuache unazi tuongee ukweli, Mr.Bushiri ana tuhuma nzito mno ndani ya SA including raping na fraud, na amekimbia dhamana, kama anajiona yupo sahihi why akimbie bail?tusilifanye jukwaa hili kama kijiwe..facts ziwepo
Prophet Bushiri ni PhD holder, ana biashara nyingi na kubwa. Ana ofisi kubwa Dubai. Ana migodi 27 Zambia na hapa Tanzania. Ana shirika la ndege. Ana hotels SA, US etc. Na biashara nyingine nyingi tuMkuu muda mwingine tuache unazi tuongee ukweli, Mr.Bushiri ana tuhuma nzito mno ndani ya SA including raping na fraud, na amekimbia dhamana, kama anajiona yupo sahihi why akimbie bail?tusilifanye jukwaa hili kama kijiwe..facts ziwepo
Uko too negative na inaonesha huna taarifa sahihi. Soma comment yangu #13View attachment 2222344
Baada ya kutapeli south Africa fweza za kutosha jamaa ameamua kuwekeza Kwenye real estate.
DUNIA hii Ina mambo
Watu wana wivu wa ovyo sana. Nimemueleza Bushiri kaondoka SA wakiwa wametaifisha mali zake, lakini akumbuke jamaa kawekeza sehemu nyingi sana zaidi ya SA walipichukua kuanzia ndege na hotel na mali zake zingine pamoja na ku freeze account zake .. ila baada ta mda mfupi kasimama kama awali tu.. na hiyo case ya kubaka ambayo wana mtuhumu upumbavu mtupu hakuna kituUko too negative na inaonesha huna taarifa sahihi. Soma comment yangu #13
Utanikuta hapa njeJirani mamaaaa pastaaaa Heaven Sent nakupitia asa hiviView attachment 2222819
Kwanini uone anatapeli hivi sadaka ni lazima au ni hiari kutoaView attachment 2222344
Baada ya kutapeli south Africa fweza za kutosha jamaa ameamua kuwekeza Kwenye real estate.
DUNIA hii Ina mambo
Hawakutaifisha alishinda kesi, unakumbuka alishitakiwa kwa makosa gani money laundry unajua nini maana ya money laundryKama kutapeli ni kazi rahisi anza nawe mkuu kutapeli.. [emoji28][emoji28][emoji28]
Nijuavavyo jamaa amewekeza sana Sudan, na SA kipindi wananuweka kesi na mambo mengine walimtaifisha kila kitu ila baada ya mda jamaa amesimama tena..