Huyo ni mtume na Nabii Maarufu sana mjini Arusha, kwa sasa amefungua tawi lake DSM viwanja vya Tanganyika Packers kando tu ya kanisa lingine la Ufufuo, kanisa likijulikana kama Ngurumo ya Upako.He GEODAVIE ndiyo nani tena?
Operesheni Kimbunga ya JK ikimpitia lazima kanisa lichukuliwe na mdau Bujibuji. Tutajaaje.....mkorogo wa Congo si bure
Huyo ni mtume na Nabii Maarufu sana mjini Arusha, kwa sasa amefungua tawi lake DSM viwanja vya Tanganyika Packers kando tu ya kanisa lingine la Ufufuo, kanisa likijulikana kama Ngurumo ya Upako.
Umasikini ni kama uendawazimu - hasa hasa umasikini wa AKILI!
Majirani zake wanalalamika anawapigia kelele....nasikia kapigwa pini kuhubiri neno
Mkuu hapo kwenye rangi mkolezo ni kweli kabisa, kikubwa cha kujiuliza, je ni wangapi tuna roho ya Utambuzi, wengi wetu akitokea mtu anafanya miujiza bila hata ya kutafakari wanafata upepo.He! Hi kali! Manabii kila kukicha!! Mathayo 24 inazungumzia dalili za siku za mwisho. Na katika Mathayo hiyohiyo Yesu amesema tujihadhari sana maana siku za mwisho wengi watakuja kwa jina lake. Muhimu tusimame imara na imani thabiti ya kumwamini Kristo sio mtu mwingine!! Muhimu tuzipime roho maana sio zote zinatoka kwa Mungu.
Mkuu hapo kwenye rangi mkolezo ni kweli kabisa, kikubwa cha kujiuliza, je ni wangapi tuna roho ya Utambuzi, wengi wetu akitokea mtu anafanya miujiza bila hata ya kutafakari wanafata upepo.
Mwisho wa siku wanajikuta wameingizwa maroho ya ajabu ajabu toka kusikojulikana.
Na siku hizi manabii hawahubiri kuhusu dhambi, wao kila siku ni kuhubiri kuhusu mfanikio, kujenga majumba....pokeaaaaaaaa, naona RAV 4 yako....pokeaaaa. Akitokea mtumishi wa Mungu anayekemea dhambi watu wanahama kanisa.Unajua mkuu tatizo watu hawasomi neno la Mungu. Ukiwa na tabia ya kusoma neno na ukiliishi, Roho Mtakatifu anakushuhudia kuwa huyu si wake. Maana utapima maneno yao kwa neno la Mungu. Unajua miujiza sio msingi. Neno la Mungu linasema tafuta kwanza ufalme wa Mungu na mengine tutazidishiwa. Sasa watu wanafuata miujiza na utajiri. Na hawa a.k.a manabii wajua shida zao hivyo Lazima wawapige bao.
Na siku hizi manabii hawahubiri kuhusu dhambi, wao kila siku ni kuhubiri kuhusu mfanikio, kujenga majumba....pokeaaaaaaaa, naona RAV 4 yako....pokeaaaa. Akitokea mtumishi wa Mungu anayekemea dhambi watu wanahama kanisa.
Basi waumini wanajaaje.
Mkuu umemaliza. Yaaani hapo ndipo huwa wananiacha mdomo wazi, najiuliza hivi yule mjane aliyemtolea Yesu senti yake ya mwisho ingekuwa leo kweli angebarikiwa? Mungu atusaidie sana.Ha ha ha!! Ni kweli kabisa mkuu. Halafu wanasema toaaaaaa!! Ili ubarikiwe. Toa dau kubwa ili ubarikiwe sana lakini Mungu huangalia moyo katika utoaji. Ukitoa hela nyingi ili watu wakuone hubarikiwi. Mkuu tuwe macho sana na tusome wenyewe neno tusisubiri mtu atusomee halafu atudanganye. Kutoa nii muhimu lakini with a humble heart. Hili hawalisemi. Wanasema tu toaaaa!!!!
Mkuu umemaliza. Yaaani hapo ndipo huwa wananiacha mdomo wazi, najiuliza hivi yule mjane aliyemtolea Yesu senti yake ya mwisho ingekuwa leo kweli angebarikiwa? Mungu atusaidie sana.
Na siku hizi manabii hawahubiri kuhusu dhambi, wao kila siku ni kuhubiri kuhusu mfanikio, kujenga majumba....pokeaaaaaaaa, naona RAV 4 yako....pokeaaaa. Akitokea mtumishi wa Mungu anayekemea dhambi watu wanahama kanisa.
Basi waumini wanajaaje.
Lol.Hakuna cha uchaga wala Nin?alikua anatupigia makelele tu mtaan na saut lake,Kod yAKe ilikua imeshaisha na alikua natakiwa asepe na nan alimwambia ajenge pale wakat yeye alikua amepangishwa na mkataba ulikua unasema asije nge ile ni site ya Mtu aweke Tent na Plastick chairs asijenge,Akajidai kujenga na kuweka na zege chin kwenye site ya mtu nan ataweza kupambana na kund la Watu badae?Alikiuka mashart ya mkataba,na pia mkataba ulipokwisha mwenye site akakataa kuendelea nae akataka site yAKe Mwanamke akawa mbogo oooh nimejenga?mabat yangu mbao zangu,chezea mwenye pesa wewe katimuliwa akajidai et kutoa laaana pale kwenye plot..!!?Dua la kuku halimpat Mwewe Watu wameweka Pub sasa cye tunakula bia tu kistaarab hatuna habar.Apeleke usingida wake uko uko salasala kwa wachimba Mawe.Nabii Mswahil Yule sijapata kuona kila kukicha tunapewa Laana mtaan ambao hatusal kwake na tulikua hatumtak mtaan Mbona hazijatupa mpk leo?Na wateja wke wa Uku Mbez walikua walinz wa masite Ao wengine alitok nao uko uko alipotoka tulimshtukia mapemaaaa.Nabii gan mnashindana nae kwenda saloon na alikua na mawig Hatareeee.Uswahil na Drama ndo zilizomtoa Nabii florah Mbez Beach.Period......!!!!!!! Atuachege na ustaarab wetu cye Panya'z Pub tule Bia.Nabii Flora!
Nani awezaye kusema kwa ushahidi?? mnakosoa hamtoi ushahidi na pia hakuna atoaye uzuri ama wema wake.... walimfanyia fitina huko Mbez akaondoka pasipo rabsha....(UCHAGA ULIHUSIKA) nani awezaye kunyooshakidole cha haki? na asimame kama hakuna na tunyamaze
Katokea wapi?maana mwili wake ni "tetracyline"rangi mbili.Mungu tufungue macho ya kiroho
Pamekua na makanisa mengi ambayo watu wanakimbilia kupata huduma za kiroho na kimwili. Na Nabii Flora ni mmoja wa manabii ambaye amefanikiwa kupata watu wengi