Nabii Jackob Steven: Bwana kuwafunua wasiojulikana na kuwapiga pigo lililo kuu

Nabii Jackob Steven: Bwana kuwafunua wasiojulikana na kuwapiga pigo lililo kuu

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, shalom!

Tangu kuumbwa Ulimwengu huu, Kiti kikuu, Mamlaka kuu ya Mungu haijawahi kushindana na tawala za wanadamu wakabaki salama.

Askari wapo kufuata order ya mkubwa wao, ufalme wa Mungu askari pia wapo, na hufuata order ya mkuu wao, Jemedari Mkuu, Mfalme wa Wafalme.

Sasa juzi mmeingia mtegoni, mmemkamata Malaika , kijana mdogo tu Kwa mwonekano, na kumpeleka gizani mkidhani mnamkomoa, kumbe mmeipeleka Nuru gizani, sasa Nuru hiyo inaangaza na kufunua yote yaliyofichwa.

Wanaosumbua wenye HAKI wako 700, hao 700 wako katika makundi matatu, kundi la kwanza ni 80%, kundi la pili ni 15%,kundi la tatu ni 5%hawa wako ndani ya chama.

Sasa Mungu anakwenda kuwatumia watu Toka ndani ya chama hicho hicho, na wanakuja kuwaweka wazi wote watendao UOVU, in short, watu hao Mungu anakwenda kuwatumia Ili kusafisha Nchi.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Source: Nabii Jacob Steven, HUDUMA YA KRISTO., U- Tube video.

Karibuni.
 
Ikiwa mlidhani Mungu hawajui wasiojulikana, mnakosea sana.

Ni muda wenu kujiliwa.
 
Ni heri, hao wahujumu wa uchumi wote wafichuliwe na waangamizwe kabisa
 
Moderator Heading ilisomeka "BWANA," ninyi mmebadili na kuweka "Bwana".

BWANA na Bwana ,ni term mbili tofauti, rudisha ilivyokuwa imeandikwa awali Ili ilete maana iliyokusudiwa.
 
Mwl Jackob Steven: Kundi la watu Waliombaka Binti wameanza kujulikana, walikuwa hawajulikani.

Hao wako kundi la kwanza la wale 80%.

Ni suala la muda tu, hakuna mtu atakayetekwa wala kupotea katika Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.
 
Wasiojulikana watenda maovu, wanaendelea kujulikana.
 
Who's Mafwele? Unabii unaendelea kutimia.
 
Mkeka wa unabii unazidi kutick, DC wa Longododo kapagawa, kayaropoka wazi kuwa Yeye ni mhusika wa watu kutekwa na kupelekwa maporini.

Na baada ya kusema Kweli kafutwa KAZI. Badala ya kufikishwa vyombo vya Dola!!

Tuendelee kusubiri who's next.
 
Wanatafutwa kondoo wengine hapa, wachunwe ngozi.
😂🤣
 
Wanatafutwa kondoo wengine hapa, wachunwe ngozi.
😂🤣
Sasa watu wakitekwa, wakipotea, nani atalipa Kodi au kuleta ZAKA madhabahuni?

Mchungaji mzuri ni yule anayeona dubu amemkamata mmoja wa kondoo wake, akaacha kundi Zima na kwenda Kupambana na dubu Ili kumuokoa kondoo mmoja.

Lini na wapi ulienda Kanisani kwako ukamsikia padiri au pastor akikemea hadharani mamlaka Ili utekaji utokomezwe zaidi ya hapa?
 
Back
Top Bottom