Nabii Mkongo aliyetabiri vifo Kenya!

Akamatwe ahojiwe!
Lazima alijua alichokuwa anafanya mackenz
 
Hawa manabii wakifanya utabiri isipotokea wawe wanarudi kutupatia updates.
 
Kagame alishakataza huu ujinga wa brainwash watu kwa kutumia Biblia - huna degree ya Theologia hakuna kufungua kanisa kutapeli watu.

Kwa hili Kagame kula tano, ha TZ matapeli wengi tu, its comming up - ilikuwa Uganda, Kenya sasa zamu yetu.
 
Biblia ilionya mapema na zamani sana kwamba kutatokea manabii, mitume na watumishi wa uongo, ni zaidi ya karne 20 sasa lakini bado watu wanatekwa, wanadanganywa, wanaangamia!
 
Pigaji hilo .Nikishaona jitu linaangalia macho ya pembeni pembeni kama hilo Nabii nakuwa makini sana .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…