Nabii Mkuu Dkt. GeorDavie: Gari nilizotoa kwa Waumini zinafika karibu 200, hizo sitangazi popote unamwambia tu aende kwa fulani akachukue

Nabii Mkuu Dkt. GeorDavie: Gari nilizotoa kwa Waumini zinafika karibu 200, hizo sitangazi popote unamwambia tu aende kwa fulani akachukue

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Nabii Mkuu Dkt. GeorDavie ameweka wazi kuwa ametoa magari takriban 200 kwa waumini wake kama sehemu ya kuwasaidia kiuchumi na kiimani. Akizungumza katika mahojiano na Salim Kikeke, alisema kuwa magari hayo hayahitaji matangazo yoyote ya wazi, bali waumini wanaohitaji huambiwa wapi waende kuyachukua.

Pia, Soma: Nabii Geordavie: Yesu akirudi leo atataka kutumia gari yangu na atataka nimfuate Airport

"Magari niliyotoa kwa waumini yanafikia karibu 200. Hizo sihitaji kutangaza popote. Anapokuwa na uhitaji, anaelekezwa kwa mtu fulani na kwenda kuchukua." alisema Nabii GeorDavie.
 
Back
Top Bottom