Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 887
- 2,010
kuwashawishi vijana wawe mahanisi.
Amekuwa akipost video amevaa nguo zenye nembo ya CCM na mkewe
Duuuh🤣Tito bana kumbe ana mke. Alisema aliwahi kipigwa pipe Earl 1990's
Huyu namjuwa vizuri sana🤣Tito bana kumbe ana mke. Alisema aliwahi kipigwa pipe Earl 1990's
Mkuu mlipiga stories gani sasa... mtaani ana akili nzuri au ni kama tunavomuona kwenye media ?Huyu namjuwa vizuri sana
Tokea akiwa kinyozi na alikuwa
Anapiga chuma..
Walikuwaga na saloon kinondoni
Kuna siku nlikutana naye moroco
Akanikumbuka,tena aliiniita baharia....
Ova
Huyo ni chizi, hana tofauti na ZumaridiHabari.
Huyu yuko anashinda sana Live TikTok na kuwashawishi vijana wawe mahanisi.
Amekuwa akipost video amevaa nguo zenye nembo ya CCM na mkewe huku akitembea mitaani na kushinda Tiktok.
Anajiita Mungu.
Anashinda Tiktok masaa 24.
Swali langu nani amadhamini huyu kichaa ili aweze kutrend
Tito ni choko, labda hapigwi bureKwa nuilivyo mulewa mtoa mada,
Kwamba tito anaishi na kumtukana Muumba kwa usaidizi wa nani?
Kazi anayofanya yeye na mke/wake zake.
je gharama zao za maisha wanazilipaje? nani analipa?
Mwehu anapata wapi pesa ya bundle?Nabii Tito mwehu tu hata asikusumbue achana naye. Kama anakukera kwanini umfuatilie sasa mkuu?
Hakuna haja ya kuwafuatilia wehu huenda nyie mnaowafuatilia mnawafanya walipwe na tiktok kwa kuwa na views nyingiMwehu anapata wapi pesa ya bundle?