Nachanganyikiwa na watoto wana jf

so linatibika je? dawa ni nini?
 

Kama jinsi yako ni ya kike, ni PM nitakusaidia
 
Hapo hakuna tatizo lolote, zaa wa kwako kama huna tatizo!!
 
Pale LOVE CONNECT kuna jamma katangaza anataka mtoto atamtunza

ila wewe hataki muishi woote... Perfect Match...
 
kuna uzi unasema anataka kuzaa mtoto lakini ataki kukaa na mama yake mtoto kaa vpi m pm fasta ndo zali hilo kama efatha vile..
 
mbona suluhisho lipo very open-hapo ni kuzaa tu-ndo kunaweza kukupatia mtoto
 
Lile wazo lako lakutafuta Rafiki wa kiume ndilo litakuletea mtoto hivyo subiri kidogo utapata rafiki atayekupa mtoto.
 
Si nguo utaomba mtu. Mtoto si nguo utaomba mtu mama. Dada pole jitahidi upate mtoto kabla umri haujaenda zaidi. Tafuta kijana wa kuzaa nae. Angalizo; usizae na mume wa mtu na kuleta simazi kwenye ndoa za watu. Tafuta kijana zaa nae hata msipooana akaje kuoa baadae soo lake si kubwa kama kuzaa na mume wa mtu. Asikwambie mtu bana raha ya dunia ni watoto.
 
Huyu kibebii haeleweki, ana miaka 30 halafu anakuja kuuliza hapa JF jinsi ya "kupanua mapaja," kaaazi kweli kweli!
 
mbona mawazo yako kama ya member fulani hivi, ngoja ni ku PM
 
Pale LOVE CONNECT kuna jamma katangaza anataka mtoto atamtunza ila wewe hataki muishi woote... Perfect Match...
Sio kuzaa tu Bebii anatamani pia kuwa na mtoto. Sasa akizaa alafu jamaa akamchukua huyo mtoto tatizo si litabaki palepale?
 
Bebii si useme tu unahitaji mume tukukumbuke kwenye maombi
 
hata mimi nilikuwa nataman sana mtoto,hvyo nikaamua kumchakachua my fncee nasikilizia hyo output product kwa hamu sana.umri wako we dada ni lazima utaman mtoto kwan ndio mida ya kuzaa hyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…