Nacheka kwa dharau, expand...Sukuma Kingdom is dying slowly and nicely

Status
Not open for further replies.

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Wasemao hamna marefu yasiyo na ncha hawakukosea. Leo tunaona majabali na magwiji wa Sukumagang a.k.a Sukuma gang wakiporomoka mmoja baada ya mwingine, kila mmoja kwa namna yake.
msukuma alitangaza vita na Mchagga, mnyakyusa na akaungana na Mmasai.

Leo Mmasai ana nongwa kibao, tayari kakalia kibao kata cha mvua 30, na nongwa kibao zamngojea kwa hamu.

Sukuma gang lingine limeshikwa na uharo ni lini litafikishwa kizimbani.

Lingine limedata huko liliko, madini yanaibiwa. Mbona hatari mbwa mkali.

Jufunzeni kutenda haki mpewapo madaraka. Tiini sheria bila shuruti, heshimuni haki za binadamu, pia mkumbuke cheo ni dhamana.

NB:-
Gamboshi ni ngome yenu, itumieni vyema.
Big Cheese alilindwa na wachawi 900 lakini kaenda. Imarisheni jadi zenu
 
nilidhan adui yenu ni ccm kumbe ni ka kikundi kadogo ka watu aiseee.


ndo maana mbowe anateseka gerezani.wapambe mpo busy kuwacheka sukuma gang
CCM ikipasuka ndio raha yetu. Anguko la Wasukuma kwetu ni burudani. Wasukuma hawana kitu wala thamani tena Dodoma.

Huu ni mtaji wa kisiasa.

Ona ma Gwajima yote mawili yako kimyaaaaaa...... Gwajima moja limeambiwa lenyewe ni lipinzani asilia.

Gwajima lingine limeambiwa lenyewe ni li ndugu la Tundu Lissu wote wakae kimya, na hakika wameufyata mazima.
 
nilidhan adui yenu ni ccm kumbe ni ka kikundi kadogo ka watu aiseee.


ndo maana mbowe anateseka gerezani.wapambe mpo busy kuwacheka sukuma gang
Adui mkubwa ni CCM, ila kuna mambo mengi sana ya ajabu ambayo hatukuwahi kuyashuhudia, kabla ya awamu ya sukuma gang!!na majeraha yake kuja kuisha ni miaka mingi sana!!MUNGU NI FUNDI
 
Tukiendelea kufanyiana au kuleteana visasi hakuna atakayebaki salama maana viongozi wote kuna Madudu walioyafanya kuanzia hyo awamu 1-5 hatupaswi kufurahia mwenzio anapopatwa na mabaya lakini tunapaswa kujifunza kwa haya yanayotokea na kuna la kujifunza namna gani ya kuongoza pindi unapopewa madaraka
 

Mjini wanasema - na bado!
 
hakuna awamu ambayo haijawahi kuacha jeraha mkuu. sema tu awamu ya tamu watoto wengi wamekamata simu ndo maana unaona kelele nyingi. Nawatanzania tulivyo wasahaulifu tunajipa matumaini kwa kushangilia maanguko yasiyotupa faida

Adui mkubwa ni CCM, ila kuna mambo mengi sana ya ajabu ambayo hatukuwahi kuyashuhudia, kabla ya awamu ya sukuma gang!!na majeraha yake kuja kuisha ni miaka mingi sana!!MUNGU NI FUNDI
 
Kuleana na kudekezana ndio kumelifikisha taifa letu hapa. Tunahitaji katiba itakayo mburuza kila muovu mahakamani, kuanzia rais hadi mtu wa chini kabisa
 
Ungekuwa na akili hata kidogo na kama kweli unaipenda TZ labda usingewatukana badala yake mngeungana nao kuiondoa CCM kwani bila kura ya Kanda ya Ziwa ni ngumu kushinda uchaguzi lkn well kila mtu na malengo yake kama Upinzani lengo lilikuwa ni Magufuli kama mtu na siyo CCM basi labda mmefanikiwa kwa kushirikiana na CCM, sasa Magufuli hayupo lkn mnataka nini kama Upinzani? Kwa maana maji hakuna, umeme hakuna, katazo la kufanya kampeni lipo, Mbowe ana kesi Mahakamani, …
 

Hawa viongozi wanaotumbua na kuenenda ndani ya mapambio ya sifa kumbe ni wengi wa maovu na tena ya kutisha?
 
Waueni basii Wasukuma wote mpate raha.
Naomba kukuelewesha kuwa Sukuma gang si wote ni wasukuma. Miongoni mwa watu walioteswa na Sukuma gang wamo wasukuma ambao walinyang'anywa mifugo yao na wengine kuuawa. Sukuma gang kalikuwa ka kikundi faidika ka utawala uliopita ambako Sera kuu ilikuwa kutawala kwa mabavu.
 
tukishangilia mabaya yanayowapata viongozi wao utawaona wanavyokimbilia vifungu vya biblia na kuanza kutishia laana na bla bla kibao
 
Buji ni msukuma pia, kwa baba na kwa mama. Ila utawala ule ulikuwa ni utawala dhalimu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…