Nachelewa sana kukojoa na kumkera mpenzi wangu. Nifanye nini twende sawa?

Mle tigo
 
Yaani hizi mada zimekuwa nyingi!!!!!!Hapa ninachoona ni vijana wanaoleta hizi mada wanashida kisaikolojia,kujifariji basi wanajifanya vidume!
 
Anatoa miguno na milio ya kimahaba wakati wa tendo? Kama hatoi, basi humgusi palipo. Pia miguno inafanya ww ukojoe chaaap
 
Unaenda lisaa lizima kasoro, duuh kuna w'wake wanajua kuteseka..
Au anakutegeshea tu hapo ufanye ukimaliza ufunike! Maana c mchezo
 
Hali ya kawaida si ugonjwa;kunusuru hiyo hali,muda mwingi mtumie kwenye maandalizi
 
Aaahhh yaan 45 ndo unaooona umetumia muda mrefu???.

Upo standard .... Mie naendaga lisaa na madakika uko
 
Mimi kila mwanamke alienitunuku goli la kwanza kawaida tu dakika 15-20 ila sasa goli la pili hua sifungi mpaka mechi inahailishwa hii haijalishi hata kama beki hazikabi au golini hamna kipa. Hiki ni nini wadau maana hua natamani niwe top scorer nipige over 2.5
Labda ni mazoezi nayofanya maana hua nakimbia 10Km siku sita za wiki.
 
Mkuu tatizo sio gegedo bali bwawa ni pana amini nacho kuambia
Hii ni kweli 100%
Nikikutanaga na mbunye mnato nawahi sana kuCum kuliko nikikutana na Bwawa...friction ikiwa kubwa kukojoa ni fasta tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…