NACHOKIONA UEFA LEAGUE NI HIKI

Goodluck Mchika

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2018
Posts
1,228
Reaction score
1,138
Kama ni kitu nachokiihisi UEFA NI KUTAKA JUVENTUS NA BARCA WAINGIE FAINALI
Yaani MESSI vs RONALDO
kama ilivyokuwa mwaka jana BARCA kupewa Roma kwa bahati tu alikanyagwa ila lengo lilikuwa hilo hilo
je nyie mnalionaje kwa sisi wanazi wa EPL maana nahisi watatupanga uso kea uso
 
Iwe vyovyote vile lakini Liverpool ndio bingwa wa UEFA msimu huu. Sioni team yoyote ikipata matokeo mara mbili kwenye two legged ties.

Hivyo kwa hali yoyote ile team yoyote itakayokutana na Liverpool kwenye hatua ya robo na nusu fainali lazima itoke. Hivyo Liverpool kuingia tena fainali ni lazima na mechi ya fainali nitatoa preview yangu baada ya kuona ni nani ameingia na Liverpool.
 
Waganga wa EPL wameanza tena kelele.

- KANA -
 
Mawazo mgando hayo.....hakuna chochote kinachopangwa kutokana na uelewa wako.....itachezeshwa draw kesho na hakuna anayejua ni nani atacheza na nani.
 
Hamna kitu kama hicho. Juve ama barca anaweza tolewa na yoyote ama hata kukutana mapema kabla ya fainali. Sioni umetumia ground ipi kufikiria hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mashabiki uchwara wa pl huwa wanalalamika kwamba wanapangiwa watoane wenyewe kwa wenyewe
Mawazo mgando hayo.....hakuna chochote kinachopangwa kutokana na uelewa wako.....itachezeshwa draw kesho na hakuna anayejua ni nani atacheza na nani.

Sent using Unknown device
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…