Nachoma moto karakana

Simeon

Member
Joined
Nov 29, 2010
Posts
61
Reaction score
20
Fundi seremala kamfumania jamaa kwa mkewe,kamkamata mwizi wake kampeleka karakana,kaishika nanihii yake kaibana na vice,kaenda kuchukua msumeno,jamaa kumuona fundi kashika msumeno analia usinikateeee....usinikateeeee......Fundi akasema''SIKUKATI ILA NITAKUPA MSUMENO NA KUCHOMA MOTO KARAKANA''
 
i dont think can make me laugh. better try best next tym
 
Huyu Escobar atakuwa hajaelewa tu si unajua jina hili ni la muuza cocaine maarufu duniani,jamaa ana choice mbili kuukata uume ajiokoe au aungue moto na kufa kabisa hapo patamu lol!
 
hapo lazima ajikate mwenyewe.

Umenikumbusha kisa cha mmasai mmoja, alikaa kwenye reli, sasa treni ikatokea **** likabanwa na ule uwazi wa chuma cha reli kinapoonganikia, masai kuona anakaribia kugongwa, akatoa sime akakata **** akasepa!!
 
hAPO JAMANI HAKUNA JINSI ILA NIKUIKATA TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…