ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Zinayapika na maini, tartiiiib.Tofauti na bia ambazo ukinywa tatu hutamani kula ila ukipiga konyagi yako au k vant kwanza huna wasiwasi wa kupata kisukari pia nyama unapiga vzr kitimoto kilo unaimaliza ila sio kwa bia.
Maada tayari.
Hii account imekuwa hacked nn?Tofauti na bia ambazo ukinywa tatu hutamani kula ila ukipiga konyagi yako au k vant kwanza huna wasiwasi wa kupata kisukari pia nyama unapiga vzr kitimoto kilo unaimaliza ila sio kwa bia.
Maada tayari.
Nahisi nahisi saiz anatumia anko ndege jonhHii account imekuwa hacked nn?
MkuuTofauti na bia ambazo ukinywa tatu hutamani kula ila ukipiga konyagi yako au k vant kwanza huna wasiwasi wa kupata kisukari pia nyama unapiga vzr kitimoto kilo unaimaliza ila sio kwa bia.
Maada tayari.
Sijui Dr Janabi wa taasisi ya moyo atasemaje kuhusu hili!Tofauti na bia ambazo ukinywa tatu hutamani kula ila ukipiga konyagi yako au k vant kwanza huna wasiwasi wa kupata kisukari pia nyama unapiga vzr kitimoto kilo unaimaliza ila sio kwa bia.
Maada tayari.
Pombe ya rangi siyo nzuri mkuuDaah hanstone choice
Mkuu; Pombe kali (40-80% ABV) zina Faida na Hasara zake. Kwa mimi naona Hasara ni kubwa kuliko faida. Faida ni kwamba unapata matokeo yake chap-chap.i.e Unatoa "lock" fasta lakini Hasara zake ni polepole na kwa muda mrefu. Mojawapo ya hasara unayotakiwa uijue ni (kama umeshakuwa Addicted) kuharibu Ini, Figo na Ubongo/Akili. Magonjwa hayo yameanza kushika kasi hivi karibuni na yanapamba moto. Pombe kali zinaharakisha Uzee. You look Older than Ur Real age. Lakini (Angalizo)kwa wanywaji wenzagu Usilewe mchana maana unaweza kujifedhehesha/kujidhalilisha au kuzua tafrani/mtafaruku usio wa lazima.Tofauti na bia ambazo ukinywa tatu hutamani kula ila ukipiga konyagi yako au k vant kwanza huna wasiwasi wa kupata kisukari pia nyama unapiga vzr kitimoto kilo unaimaliza ila sio kwa bia.
Maada tayari.
Mama john na mafiat sio karibu..Mkuu; Pombe kali (40-80% ABV) zina Faida na Hasara zake. Kwa mimi naona Hasara ni kubwa kuliko faida. Faida ni kwamba unapata matokeo yake chap-chap.i.e Unatoa "lock" fasta lakini Hasara zake ni polepole na kwa muda mrefu. Mojawapo ya hasara unayotakiwa uijue ni (kama umeshakuwa Addicted) kuharibu Ini, Figo na Ubongo/Akili. Magonjwa hayo yameanza kushika kasi hivi karibuni na yanapamba moto. Pombe kali zinaharakisha Uzee. You look Older than Ur Real age. Lakini (Angalizo)kwa wanywaji wenzagu Usilewe mchana maana unaweza kujifedhehesha/kujidhalilisha au kuzua tafrani/mtafaruku usio wa lazima.
Sijasema usinywe au uache kunywa la hasha. Kunywa lakini hilo uliweke akilini ukizingatia kwamba unakunywa Pombe na sio Pombe inakukunywa wewe. Kunywa kistaarabu huku ukiijali Afya yako na FAMILIA yako. Ulaji wa nyama nyingi kupita kiasi ni kuutesa mwili. Nyama haihifadhiwi mwilini na inatumia nguvu nyingi kuichakata ndani ya mwili.i.e ni wastage of food resources and is uneconomical.
Karibuni mm nipo hapa kwa mama John (karibu na Mafiat)napata ka-ulanzi mdindif kidogo.[emoji1787]
mkuu ukifa maini yanaenda kuoza sasa kwanini ufe na maini mazima alafu unaweza usinywe pombe ukafa na covid au maraliaZinayapika na maini, tartiiiib.
Unamuongelea Janabi mtaalamu wa Nutrition...Sijui Dr Janabi wa taasisi ya moyo atasemaje kuhusu hili!
Tofauti na bia ambazo ukinywa tatu hutamani kula ila ukipiga konyagi yako au k vant kwanza huna wasiwasi wa kupata kisukari pia nyama unapiga vzr kitimoto kilo unaimaliza ila sio kwa bia.
Maada tayari.
ndomnavyojiteteagamkuu ukifa maini yanaenda kuoza sasa kwanini ufe na maini mazima alafu unaweza usinywe pombe ukafa na covid au maralia
Kwa anaeenda kwa miguu sio karibu.Mama john na mafiat sio karibu..