Ni kweli. Na ukimsikiliza sana utakufa njaa - maana anazuia kula kila kitu!Unamuongelea Janabi mtaalamu wa Nutrition...
Tapeli tu...
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Sorry,mafiat Iringa ipo pande zipi?Mkuu; Pombe kali (40-80% ABV) zina Faida na Hasara zake. Kwa mimi naona Hasara ni kubwa kuliko faida. Faida ni kwamba unapata matokeo yake chap-chap.i.e Unatoa "lock" fasta lakini Hasara zake ni polepole na kwa muda mrefu...🤣
uliadimika sana babyZinayapika na maini, tartiiiib.
Kifo ni lazima, ukitaka usitake. Kwanini uishi na maini mabovu unayachoma mwenyewe kwa mipombe? Hilo ndio la msingi.mkuu ukifa maini yanaenda kuoza sasa kwanini ufe na maini mazima alafu unaweza usinywe pombe ukafa na covid au maralia
Kisukari unapata inaharibu kongosho inayo regulate sugar kwa mwili usijidanganyeTofauti na bia ambazo ukinywa tatu hutamani kula ila ukipiga konyagi yako au k vant kwanza huna wasiwasi wa kupata kisukari pia nyama unapiga vzr kitimoto kilo unaimaliza ila sio kwa bia.
Maada tayari.
Asalaam Aleykhum warahmatullah wabarakatul...!Zinayapika na maini, tartiiiib.
Kwa niniPombe ya rangi siyo nzuri mkuu
Zinaleta stimu?Kwanini unywe vitu vyenye kemikali badala ya kula vichungu vyenye afya kama nyanya chungu halisi na chunga?
Ndiyo, mfano nyanya chungu huwa natafuna mbichi kabisa na ninapata mzuka haswaa.Zinaleta stimu?
Wa Aleykoum Salaam.Asalaam Aleykhum warahmatullah wabarakatul...!
Baada ya kuvuka njia panda ya Tukuyu na kabla ya jengo lililotumika kama Ofisi za za IFAD kanda ya kusini.Sorry,mafiat Iringa ipo pande zipi?
Nilisoma Iringa miaka ya nyuma,sikuwahi kuikia huo mtaa.
[emoji23][emoji23][emoji23].daa umenivunja mbavu mkuu.ila hujui raha ya bia mkuu,na pombe .Kwanini unywe vitu vyenye kemikali badala ya kula vichungu vyenye afya kama nyanya chungu halisi na chunga?