mtoto mpole
JF-Expert Member
- Mar 22, 2010
- 678
- 148
...nimekusikia, ...am sorry....😛ray:
Habari wakuu, hivi wasichana wenzangu mshaona hii , unamwandikia email, au sms, au barua ndeeefu mpenzi wako halafu yeye anajibu maneno mawili, matatu..... mie binafsi naona hii wanaoathirika zaidi ni wanawake, cause tunapenda sana kujielezea hisia zetu kwa mapana na marefu... unaweza mwambia mpenzi wako jinsi unavyompenda ukajielezea kurasa mbili yeye akakujibu mistari miwili tu, au na mimi pia...
hapo mnakuwa mmetuvunja nguvu sana, au umechukia kitu mko mnaongea utaongea masaa matatu yeye atakujibu nimekusikia nisamehe, hamuoni kwamba mnatakiwa mjielezee kidogo ingalau kumpa moyo mwenzio... inakukutaga hii embu niambieni wanaokutana na hali hii wanajisikiaje? mie huwa nakasirika mara mbili yake
Basi ingawa uoneshe affection kwa kujielezea kidogo hata unapokosa sio bb im sorry ukiongea tena kanyamaza ina maana kamaliza ukizidi unastukia anaanza kukukiss then mna do kamaliza kesi
...lol!...kujielezea sana kunahitaji kumbukumbu nzuri.
(mwanaume) unaweza katikati ya mistari ukaambiwa urudie ulichosema awali ukabakia
unajiuma uma...
Tatizo, Wanawake huwa mnasikiliza kwa makini halafu mnatu-quote baadae.
Bora hivyo ku summarize 'kwenye fuu la nazi!'
wanaume huwa tunaongea sana when we are broke.....
so tace care wadada lol
Unakuwa na jeuri huongei sana labda unatingisha kichwa tuHahahahah lol! BOSS ukiwa nazo nyingi mfukoni hufanya vipi?
Kumbe pia kutoongea sana ni kuogopa kuchanganya habari, looo shame on you wanaumeMbu,
Kweli mkuu...Umenikumbusha hayo mambo ya cross-examination!! Wanawake ni wazuri sana kwenye hayo mambo na kama mwanamume si mjanja basi unaweza kujikuta unachanganya majiografia kirahisi sana....Kama mtu huwezi kuweka kumbukumbu vizuri bora utoe maneno machache ili kukwepa ku-erode data!
Unakuwa na jeuri huongei sana labda unatingisha kichwa tu
Kwa kweli wanaoongea sana bila sababu mie siwapendi pia ila kama kuna kitu umeulizwa ujibu wa kina jamaniBB,
Labda hujakutana nao. Amini usiamini kuna wanaume wanajua kuimba pambia hakuna mfano!! Omba ukutane na mmoja wa namna hiyo. Hata hivyo nahofia unaweza kumchoka haraka!!
Mzee DC
Nahisi ni asili yakeDah!
pole kwa yote, labda ndio asili yake huyo mtu
Unakuwa na jeuri huongei sana labda unatingisha kichwa tu
Unakuwa na jeuri huongei sana labda unatingisha kichwa tu
Mhhhh! BB! kichwa kipi!? hahahahaha lol!
Mhhhh! BB! kichwa kipi!? hahahahaha lol!
Mkuu nimechakachuwa wapi bwanaHahaaa haaaa Mbona unaanza kuichakachua thread yako mwenyewe?