ndio mungu hapendi lakini kuna kipindi hata yeye huwa anafika mahali anakunong'oneza kuwa
mwanangu sepa haraka huyu sio .......nilikupitisha hapa ili ujifunze kuwa wanaposema kua uyaone hawamaanishi magorofa.......
Ha ha ha ha ha ha,tuseme nikikuta ni mume wangu............mi thimwachi ng'o...........NTAMUOMBEA....LOL:A S 465::wink2:
ndio mungu hapendi lakini kuna kipindi hata yeye huwa anafika mahali anakunong'oneza kuwa
mwanangu sepa haraka huyu sio .......nilikupitisha hapa ili ujifunze kuwa wanaposema kua uyaone hawamaanishi magorofa.......
I believe it starts from the heart,if people could have a different perception 2wardz the opposite sex then things could change,.charity starts at home,kama utaeza kumrespct ur mum,aunty,sister,wife,those around you(for the men)you can change what you feel for others of their kind and having dignity-conciousness,sio tu wanawake wanatakiwa waheshm miili yao,guys have to do that to..co kila gal anajua who you are,even the bible says that..and for the women,.respect,wisdom,knowledge..being empowered doesnt mean ruling men but having a stand on wateva you do,knowing wat u want,a gud mum,and a gud yf..
MUNGU AKISHIKA NJIA ZETU!
hivi ukute mwanamke amekuwekea sumu ukaponea hospitali au anakumwagia maji ya moto usingizini unategemea hutamwacha? au umeoa unakuja kukuta mke/mme ni mchawi anapaa usiku utaishi nae?
ndio mungu hapendi lakini kuna kipindi hata yeye huwa anafika mahali anakunong'oneza kuwa
mwanangu sepa haraka huyu sio .......nilikupitisha hapa ili ujifunze kuwa wanaposema kua uyaone hawamaanishi magorofa.......
hivi ukute mwanamke amekuwekea sumu ukaponea hospitali au anakumwagia maji ya moto usingizini
unategemea hutamwacha? au umeoa unakuja kukuta mke/mme ni mchawi anapaa usiku utaishi nae?