kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Yaani nachukia mijusi balaa, hata nikiona kinyeshi chake ndani tu mfano bafuni aisee huwa siogi. Nikiona hata wakati nakula huwa nashindwa kula hata chooni natamani kukimbia.
Kinyesi cha wanyama wote nashika, ng'ombe etc, maana before nilikuwa mfugaji. Siogopi hata nyoka wala chochote, except mavi ya mjusi.
Kitandani ndio nitahama kabisa hasa kipindi cha mvua nakumbuka mwaka jana mkoani masika nilienda familia moja huko nikakaribishwa na pa kulala sasa kilikuwa kipindi cha mvua, aisee chumba safi ila nilivyokuta kinyesi cha mjusi tu kitandani yaani niliondoka na mabegi yangu nikaenda kulala guest house.
Nachukia sana kinyesi cha mjusi, siwezi shika kwa mikono yangu kabisa yaani ukiniambia hata nibebe na mikono unipe pesa sitaweza.
Yangekua dawa ya ugonjwa nambiwe ninywe nipone yaani sitoweza ni bora nife tu, yaani sijui kwanini nina allergy na mjusi na kinyesi chake mimi huhisi kinyaa sana.
Kinyesi cha wanyama wote nashika, ng'ombe etc, maana before nilikuwa mfugaji. Siogopi hata nyoka wala chochote, except mavi ya mjusi.
Kitandani ndio nitahama kabisa hasa kipindi cha mvua nakumbuka mwaka jana mkoani masika nilienda familia moja huko nikakaribishwa na pa kulala sasa kilikuwa kipindi cha mvua, aisee chumba safi ila nilivyokuta kinyesi cha mjusi tu kitandani yaani niliondoka na mabegi yangu nikaenda kulala guest house.
Nachukia sana kinyesi cha mjusi, siwezi shika kwa mikono yangu kabisa yaani ukiniambia hata nibebe na mikono unipe pesa sitaweza.
Yangekua dawa ya ugonjwa nambiwe ninywe nipone yaani sitoweza ni bora nife tu, yaani sijui kwanini nina allergy na mjusi na kinyesi chake mimi huhisi kinyaa sana.