Nachukia sana hii kitu!!!!

Nachukia sana hii kitu!!!!

Jakubumba

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2011
Posts
1,624
Reaction score
501
Kila ninapomtokea msichana ananiambia ngoja nikafikilie nitakupa jibu, nasubili weeee namkumbushia tena ananipa jibu hilo hilo. Baadaaae anakubali tena kwa mbinde sana wakati upendo wangu unaanza kupungua kwa jinsi alivyonisumbua huku namlove. Hivi ninyi akina dada hisia zenu za upendo huwa ziko maili ngapi?
 
Unakosea kulenga aisee!Wa category unayoitaka wewe wapo kibao!Una omba na kupewa bila usumbufu wa ngoja nijifikirie.
 
Kila ninapomtokea msichana ananiambia ngoja nikafikilie nitakupa jibu, nasubili weeee namkumbushia tena ananipa jibu hilo hilo. Baadaaae anakubali tena kwa mbinde sana wakati upendo wangu unaanza kupungua kwa jinsi alivyonisumbua huku namlove. Hivi ninyi akina dada hisia zenu za upendo huwa ziko maili ngapi?

Ngoja kwanza nitaludi...!!!
 
Kama mdada mwenyewe hakufahamu, unataka tu akupe YES???!!!! Ninaamini kuwa upendo ambao umeanzia kwenye urafiki huwa unadumu..........hapa nina maana, mnahitaji kuwa marafiki kwanza,....then something beautiful can develop from that friendship............
 
Hakuna kitu ila ni ile staili ya SITAKI-NATAKA, ndiyo inasumbua
 
kama mdada mwenyewe hakufahamu, unataka tu akupe yes???!!!! Ninaamini kuwa upendo ambao umeanzia kwenye urafiki huwa unadumu..........hapa nina maana, mnahitaji kuwa marafiki kwanza,....then something beautiful can develop from that friendship............
like it!!!!
 
Kila ninapomtokea msichana ananiambia ngoja nikafikilie nitakupa jibu, nasubili weeee namkumbushia tena ananipa jibu hilo hilo. Baadaaae anakubali tena kwa mbinde sana wakati upendo wangu unaanza kupungua kwa jinsi alivyonisumbua huku namlove. Hivi ninyi akina dada hisia zenu za upendo huwa ziko maili ngapi?

...shukuru mungu walau wanakujibu na hizo hopes ...
wengine utambulia msonyo tu.."... ♪ .mmnnxxxxxxxxxxxxiiiii.. ♪ . !"
 
Kwanza kutokana na wanaume wengi siku hizi kuwa wadanganyifu,wanawake wameshtuka na kuamua kuchunguza kwanza kabla ya kukubaliana na muombaji,tatizo linakuja ni namna gani ambavyo mwanamke anaweza kukuchunguza kabla hajakubali kama mnaishi mbali au mnakutana tu sehemu ya kazi tofauti na wale ambao mnakaa pamoja kama vile chuoni.

Pili,mwanamke ni lazima aringe kidogo ili kuweka hadhi yake iwe juu kwako sio kukukubalia leo leo na kesho umuone ni maharage ya Mbeya maji mara moja.

Kama kweli ulikuwa una nia na mwanamke na una mapenzi ya dhati kwake basi hata ichukue muda gani mapenzi yako kwake hayatapungua ila kwako naona ulikuwa unataka ngono zaidi kuliko ambavyo unataka ionekane hapa.
 
Kama mdada mwenyewe hakufahamu, unataka tu akupe YES???!!!! Ninaamini kuwa upendo ambao umeanzia kwenye urafiki huwa unadumu..........hapa nina maana, mnahitaji kuwa marafiki kwanza,....then something beautiful can develop from that friendship............
asante mi sina neno tena hapo
 
wanaume bwana akikupa jibu direct utamuita kicheche,akikuzungusha utasema msumbufu. Loh. . !
 
Back
Top Bottom