Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inshu ilianzia kwa mtoto wa kaya kutia aibu kwenye matokeo yake. Kws kweli hali ile kama familia ya rahisi wetu mtukufu ilidhalilishwa sana
Yes hiki ndio kilikuwa chanzo cha kuondoa majina na kuleta namba. Kwangu mimi ni vizuri kutumia majina badala ya namba.
Tiba
Inshu ilianzia kwa mtoto wa kaya kutia aibu kwenye matokeo yake. Kws kweli hali ile kama familia ya rahisi wetu mtukufu ilidhalilishwa sana
Sio kweli angalieni hata form 4 ya 2006 na matokeo ya form 6 2009 hayana majina iyo ishu ilikuwepo hata zamani ila ilikuwa mara chache ila naona sikuiz wameiweka rasmi.
Kweli sio mzuri kuna dogo hapa home kagoma kutaja namba yake so hatujui kavuna nn maana shule yao ina IV na 0 tu sa hatujui katoka na buyu a.k.a V au atapata angalau cheti
Hata me kilichonikera ni kwamba dogo kazima simu tangu matokeo yatangazwe yaani hapa sijui dogo kapata ngapi na yuko mbali kidogo. Hii inakera sana
Kwa hiyo mtoto wa kaya ndio kavuruga utaratibu siyo?
Utadanganya vipi hayo matokeo?? si kuna kwenda form 5 nk...
Hata wazazi wasioenda shule hawadanganyiki sembuse waliosoma...
Tokeo la 4m4,6 halifichikiii kwa sabau ni determinant factor kubwa kwenda form 5 na chuo,
myb chuo ndo unaeza sema una first class hata km una pass,cz kazi kupata utafanya kama wanachuo wengine wowote
oh my dear god kumbe waweza bishana humu na mwanao?sio kweli hata waliomaliza form four 2006 na form 6 2009 pia matokeo yetu yalikuwa na namba tu bila majina kama mnabisha yatafuteni mtaona.
Ha!ha!ha. Kwani ni yule ambaye yuko advance kwa sasa?
Yani sisi yuko home na kagoma kutaja namba mbaya zaidi kasoma shule ya kata bush huko hata namba ya mwalimu mkuu wao hatuna atleast tungemuulizia.