Nachukua Muda mrefu kuwa Aroused kwenye Game! Tatzo nini?

Nachukua Muda mrefu kuwa Aroused kwenye Game! Tatzo nini?

Kiraka Kikuu

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
5,903
Reaction score
1,979
Wanabodi,nimekuwa nakumbana na tatizo hili mara kadhaa sasa.

Pindi tunapo kutana na mwenzi wangu kwa tendo,inanichukua muda mrefu "kusimamisha",na baada ya tendo,inanichukua muda pia kwenda round ya 2, 3, 4 n.k.

Nimehc ths is abnormal, kwani mwanzo, I was easily aroused, na hli linamkera mke wangu much!
Naomba msaada juu ya hili.
 
Jaribu kuwaona wataalamu wa saikolojia punguza kazi/weka ratiba ianayoeleweka, pata muda wa kupumzika, kunywa maji mengi, na pendelea vyakula ntural na vyenye fibre sana fanya maoezi!

All ze best!
 
Mnahitaji msaada wa kisaikolojia.

Maana kuwa na mwenzio na kutokusimama hili ni tatizo jingine pia. Na pia inategemea kwamba mnatabia ya kukutana mara ngapi kwa wiki. Kiafya inashauriwa zaidi ya mara mbili kwa wiki. Pia umri wako, mnawatoto wangapi.

Ila kwa sie waswahili inategemea mazingira mnayoishi,unajua kama mnaishi ktk mazingira ya kujazana kwenye nyumba za familia nalo ni tatizo,maana mnakuwa kama mpo jela,hamfanyi mapenzi hadi kwa timing.
 
....umri unasogea, usongo wa mawazo, umeongezeka uzito kuliko wastani wako, na je vipi? Ushawahi pima kisukari?

Tendo la ndoa linapotumika kama wajibu badala ya kustareheshana, ubunifu umepungua, [same old routines!]....

Kuna mengi wapaswa kujiuliza why your willy is depressed! 😉
 
Mnahitaji msaada wa kisaikolojia.
Maana kuwa na mwenzio na kutokusimama hili ni tatizo jingine pia.
Na pia inategemea kwamba mnatabia ya kukutana mara ngapi kwa wiki.
Kiafya inashauriwa zaidi ya mara mbili kwa wiki.
Pia umri wako,mnawatoto wangapi

Ila kwa sie waswahili inategemea mazingira mnayoishi,unajua kama mnaishi ktk mazingira ya kujazana kwenye nyumba za familia nalo ni tatizo,maana mnakuwa kama mpo jela,hamfanyi mapenzi hadi kwa timing.


Sikutegemea kucheka leo, lakini hapo kwenye red pamenivunja mbavu.

 
Hapo kwenye round 2,3.4 nk...unamaanisha ngapi...? kusema ukweli kwa ufutiliaji wangu wa mambo....tendo la ndoa ili liwe productive linatakiwa kufanya round 2 au tatu tu ikizid kwa utalamu wa hali ya juu kila mtu aaridhike ...laki n hizo 3 ,4 tano n kujichosha na kumchosha mwenzako kisaikolojia tu..
 
Hapo kwenye round 2,3.4 nk...unamaanisha ngapi...? kusema ukweli kwa ufutiliaji wangu wa mambo....tendo la ndoa ili liwe productive linatakiwa kufanya round 2 au tatu tu ikizid kwa utalamu wa hali ya juu kila mtu aaridhike ...laki n hizo 3 ,4 tano n kujichosha na kumchosha mwenzako kisaikolojia tu..

ahsante Dr.Mo,nahc hli ndlo tatzo le2.
Normally huwa tunaenda round 3,lkn kuna tym huwa tunaenda had round 5.
Je,hili lawezd kuwa sababu?
Infact,mara ya mwsho 2lienda 6 rounds,na baada ya hapo,kama wik 2 mfululizo najikuta mzto kuwa aroused,na 2kifka 2 rounds bas nakuwa hoi!
 
Last edited by a moderator:
Sasa braz unaenda mpaka round 6 hzo nguvu unazireplace vp?ni hatari hyo kwa afya yako!try to eat energetic foods and stop doing it 4 about 3 to 4 day u wil regain i hope!
 
ahsante Dr.Mo,nahc hli ndlo tatzo le2.
Normally huwa tunaenda round 3,lkn kuna tym huwa tunaenda had round 5.
Je,hili lawezd kuwa sababu?
Infact,mara ya mwsho 2lienda 6 rounds,na baada ya hapo,kama wik 2 mfululizo najikuta mzto kuwa aroused,na 2kifka 2 rounds bas nakuwa hoi!
Kweli wewe ni kiboko yao....!
 
ahsante Dr.Mo,nahc hli ndlo tatzo le2.
Normally huwa tunaenda round 3,lkn kuna tym huwa tunaenda had round 5.
Je,hili lawezd kuwa sababu?
Infact,mara ya mwsho 2lienda 6 rounds,na baada ya hapo,kama wik 2 mfululizo najikuta mzto kuwa aroused,na 2kifka 2 rounds bas nakuwa hoi!
.......Study nyingi zinaonesha per day round tatu zinatosha na average time ni 7-10 mins ...hiyo ni satfactory to every health nomal human being na na ipo recommended pia atleast kwa week mara mbili...lakini haya mabo ya round 5 kila siku au mara nyingi kwa week....performancy inakuwa ndogo sana hasa kwenye kumridhisha mwenza.....so wakati mwingine inaweza hata kukufanya uone una sexual dysfunction.....
 
Aliyekuambia unachelewa nani? Huwa unawaangalizia wanamme wenzio?

Acha kujipa presha za bure, kwani manyo ya kusimamisha inasemaje?
 
Round 6, umekuwa kuku?

Yaani vijana mnajichosha, mnajichosha bure tu
ahsante Dr.Mo,nahc hli ndlo tatzo le2.
Normally huwa tunaenda round 3,lkn kuna tym huwa tunaenda had round 5.
Je,hili lawezd kuwa sababu?
Infact,mara ya mwsho 2lienda 6 rounds,na baada ya hapo,kama wik 2 mfululizo najikuta mzto kuwa aroused,na 2kifka 2 rounds bas nakuwa hoi!
 
Aliyekuambia unachelewa nani? Huwa unawaangalizia wanamme wenzio?

Acha kujipa presha za bure, kwani manyo ya kusimamisha inasemaje?


Mmmmmh dada nawe!!!!!!!

Kijana naona ndo kavunja ungo sasa ni kama jenereta haijiulizi kama inawashwa mchana wala usiku na kama inawashwa kwa manufaa au ni mtoto anaichezea!!!!

Yaani hata kama haina mafuta ikivutwa kamba inajaribu kuwaka
 
Yaani hawa vijana wanajichoshaje.

Mmmmmh dada nawe!!!!!!!

Kijana naona ndo kavunja ungo sasa ni kama jenereta haijiulizi kama inawashwa mchana wala usiku na kama inawashwa kwa manufaa au ni mtoto anaichezea!!!!

Yaani hata kama haina mafuta ikivutwa kamba inajaribu kuwaka
 
Sasa braz unaenda mpaka round 6 hzo nguvu unazireplace vp?ni hatari hyo kwa afya yako!try to eat energetic foods and stop doing it 4 about 3 to 4 day u wil regain i hope!

Thank you kaka!
 
.......Study nyingi zinaonesha per day round tatu zinatosha na average time ni 7-10 mins ...hiyo ni satfactory to every health nomal human being na na ipo recommended pia atleast kwa week mara mbili...lakini haya mabo ya round 5 kila siku au mara nyingi kwa week....performancy inakuwa ndogo sana hasa kwenye kumridhisha mwenza.....so wakati mwingine inaweza hata kukufanya uone una sexual dysfunction.....

Thanks Dr.Mo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom