KERO NACTE Dar es Salaam wana huduma mbovu

KERO NACTE Dar es Salaam wana huduma mbovu

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
NACTE Dar es Salaam wana huduma mbovu sana, ukipiga simu hawapokei haswa customer care unaweza kuwapigia hata mwezi bila kupokea simu, pia hata ukifika ofisini kwao wapo bize na mambo yao tu.
 
Mikopo nyonya damu na kukosa matumaini ya kesho,pia unaona watu wanapiga pesa wewe unasoma gazeti inakuwaje hii.
 
Back
Top Bottom