NACTE: IFM, CBE na Arusha Tech siyo Vyuo Vikuu bali ni Taasisi za Elimu

NACTE: IFM, CBE na Arusha Tech siyo Vyuo Vikuu bali ni Taasisi za Elimu

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wale Mliosoma IFm,Cbe na Arusha Tech Pokeeni Hii Taarifa Wakuu.

----
Dkt. Geofey Oleke - Mkurugenzi wa Udhibiti, Tathmini na Ufuatiliaji NACTE amesema haya

Watu huwa wanachanganya kati ya NECTA Na NACTE kwa sababu ya maneno kushabihiana NACTE ni baraza la Taifa la elimu ya Ufundi wakati NECTA ni baraza la Mitihani la Taifa. Sisi kazi yetu ni kusajili vyuo na kuangalia ubora katika vyuo vya elimu ya kati, ni vyuo ambayo sio vyuo vikuu ambayo vinatoa ngazi ya cheti, diploma, degree mpaka degree za juu.

Vyuo ambayo sio vyuo Vikuu ni IFM, CBE, Arusha Tech., hizi ni taasisi za elimu zinatoa ngazi ya cheti hadi Masters vyote vipo chini na NACTE.

Vyuo vikuu vyote vipo chini ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kama UDSM, UDOM na vingine.

Tupo kwenye msimu wa Udahili na kawaida kabla ya wanafunzi kwenye vyuoni kuripoti wanafanyiwa uhakiki.

Wanafanya maombi kwenye vyuo vyao halafu baadaye vyuo vinaleta majina ya wanafunzi wote wanaotakiwa kusajiliwa ili sifa zao zifanyiwe uhakiki kwa mfano unataka kusoma program ya afya kumbe hauna vigezo vya kusoma kazi yetu kubwa kama baraza ni kuangalia ubora tumeshafanya kwenye program ya afya kwenye vyuo vya Serikali kwenye vyuo vingine mchakato unaendelea umeanza tarehe 5 kuangalia sifa za wanafunzi vyuo vyote vimeleta majina ya wanafunzi wao. Hii kazi itakwenda mpaka tarehe 15 September

NACTE.JPG
 
Tazama rankings ya vyuo vikuu bora duniani.

Utakutana na MIT, California institute of technology, Georgia institute of technology.

Hapo huwa sielewi kwa nini wanaingiza taasisi ziwemo katika 10 bora ya vyuo vikuu duniani
 
Kazi ipo kwenye Ajira tu..we wa UDSM unasugua home miaka 3, mwenzio wa IFM miezi tu kalamba kazi..hizo nyingine mbewembwe tu kikubwa ni ubora wa elimu inayotolewa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
 
Ilitakiwa atuelezee sifa na tofauti kati ya chuo kikuu na Taasisi ya elimu

Sidhani kama Kuna tofauti ya kiubora maana ametoa mfano wa Taasisi inayotoa cheti mpaka masters so naona bado hajaeleweka naona ameeleza kiushabiki zaidi kuliko uhalisia
 
Sasa
Tazama rankings ya vyuo vikuu bora duniani.

Utakutana na MIT, California institute of technology, Georgia institute of technology.

Hapo huwa sielewi kwa nini wanaingiza taasisi ziwemo katika 10 bora ya vyuo vikuu duniani
Sasa unataka kulinganisha MIT na CBE?
 
Wale Mliosoma IFm,Cbe na Arusha Tech Pokeeni Hii Taarifa Wakuu.

----
Dkt. Geofey Oleke - Mkurugenzi wa Udhibiti, Tathmini na Ufuatiliaji NACTE amesema haya

Watu huwa wanachanganya kati ya NECTA Na NACTE kwa sababu ya maneno kushabihiana NACTE ni baraza la Taifa la elimu ya Ufundi wakati NECTA ni baraza la Mitihani la Taifa. Sisi kazi yetu ni kusajili vyuo na kuangalia ubora katika vyuo vya elimu ya kati, ni vyuo ambayo sio vyuo vikuu ambayo vinatoa ngazi ya cheti, diploma, degree mpaka degree za juu.

Vyuo ambayo sio vyuo Vikuu ni IFM, CBE, Arusha Tech., hizi ni taasisi za elimu zinatoa ngazi ya cheti hadi Masters vyote vipo chini na NACTE.

Vyuo vikuu vyote vipo chini ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kama UDSM, UDOM na vingine.

Tupo kwenye msimu wa Udahili na kawaida kabla ya wanafunzi kwenye vyuoni kuripoti wanafanyiwa uhakiki.

Wanafanya maombi kwenye vyuo vyao halafu baadaye vyuo vinaleta majina ya wanafunzi wote wanaotakiwa kusajiliwa ili sifa zao zifanyiwe uhakiki kwa mfano unataka kusoma program ya afya kumbe hauna vigezo vya kusoma kazi yetu kubwa kama baraza ni kuangalia ubora tumeshafanya kwenye program ya afya kwenye vyuo vya Serikali kwenye vyuo vingine mchakato unaendelea umeanza tarehe 5 kuangalia sifa za wanafunzi vyuo vyote vimeleta majina ya wanafunzi wao. Hii kazi itakwenda mpaka tarehe 15 September

Wasomi wetu mna safari ndefu sana!

..........Mnashindwa kutofautisha vitu kama hivyo mtaweza kweli kutuletea maendeleo?
 
Back
Top Bottom