Nacte na confirmation button yao

Nacte na confirmation button yao

Raelish

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2013
Posts
489
Reaction score
162
wadau nacte wanatupa presha sana, ukiingia kwenye profile yako utakuta umechaguliwa chuo ila unatakiwa uconfirm sasa hiyo confirmation button ipo disabled na wamesema kama hutoconfirm mpaka tar.12 julai basi nafasi yako atapewa mwingine.. tujuzane jaman, hv ni nin kilichopo, tupate bas maelezo ya kutosha kuhusu hili anayejua zaid atujuze. 5f
 
Thanks for hii thread wanajamvi hebu tusaidiane hapa
 
Mimi mbona sijaona, deadline ya ku apply ni 31july, je ina maana wameshafanya selection before??
 
Mbona kwenye my profile hakuna hicho kitu wewe kwako kipo sehemu gan
 
kamavip nenda kweny website yao and then chukua namba zao watwangie
 
washawapangia watu vyuo tayari tangu jumanne tar.8, na confirmation button imerudishwa kwa hiyo mambo yamekaa sawa,, namshukuru Mungu nimechaguliwa. maelezo zaid kwa ww ambao hakuna kitu kwenye profile yako nenda kwenye page yao fb kuna maelezo utapata pale
 
Ni kweli confirm button imewekwa leo hata mimi niliwasiliana nao jana wakasema itawekwa leo na confirm ni mwisho trh 12/07/14 baada ya hapo wata run second selection na watatoa siku za kuconfirm na watakao confirm ndio watakuwa selected na list itatumwa kwa wakuu wa vyuo na ambaye haja confirm atachukuliwa kuwa hayupo tayari huenda amepata chuo kingine au anaenda form 5
 
ambaye haja confirm atachukuliwa kuwa hayupo tayari huenda amepata chuo kingine au anaenda form 5

dah mkuu mimi nilijua tunaokwenda University Kumbe Unazungumzia vyuo vya ufundi!
 
washawapangia watu vyuo tayari tangu jumanne tar.8, na confirmation button imerudishwa kwa hiyo mambo yamekaa sawa,, namshukuru Mungu nimechaguliwa. maelezo zaid kwa ww ambao hakuna kitu kwenye profile yako nenda kwenye page yao fb kuna maelezo utapata pale

Mbona walisema mnaweza kuedit mwisho tar.13.jul sasa na ambao wako vijijini wanafanyaje
 
Back
Top Bottom