NACTE na equivalent bado utata tupu

PITCO

Member
Joined
Sep 17, 2014
Posts
9
Reaction score
1
Kweli mambo ya nacte yanatutesa nafsi sana. Wameanza kuweka mabadiliko kwenye profile zetu lakini mabadiliko hayo nimaajabu matupu mf. Mimi wameniandikia eligible kwa facult mbili nilizoomba zinginine checking inprogress kinacho nitesa kwenye hizo eligible kwenye capacity ni zero.
Je wenzangu ni kama mimi?
Pia kama hamna status yoyote ya SELECTED ni be calm pekee nitapata chuo?

URAIANI YATOSHA NATAKA NISOME.
 
siyo rahisi kwako kuelewa jinsi gani system yao inavyofanya kazi, utaumiza kichwa bure, kama uko eligible utapata, ondoa shaka.Inaweza experience ya mwingine isifanane na ya kwako.
 

daaaa nimecheka bureee.
tatizo na ss tumekua wachunguz mno tulia wapike kesho wataipua utakula sasa tunaonja onja ndo maana tunakuta chumv hakuna mara vle mala hv mambo yatakaa sawa kua mpole
 
daaaa nimecheka bureee.
tatizo na ss tumekua wachunguz mno tulia wapike kesho wataipua utakula sasa tunaonja onja ndo maana tunakuta chumv hakuna mara vle mala hv mambo yatakaa sawa kua mpole

haaah haah haah me now nimechek pale kwa diploma holder hapafunguki kabisa
 
Truee yan link hai open kabisa sema kuna baadhi wameanza kuwa selected wa equevalent
 
hahahahahaaaaaaahahaaaaa........ yaaan kwangu inasema error sasa cjui ndio pc yangu ina wenge au?
 
Watakuwa wanafanya yao.... maana Jana ilikuwa ivo ivo baada ya mda ikafunguka Na tukaona mabadiliko kwenye profile..... kuweni Na subra wana diploma wenzangu.....
 
BE CALM...!!!

MIMI JANA NILIBAHATIKA KUFUNGUA PROFILE YANGU. NILIKUTA NIMEPANGIWA CHUO WALICHONICHAGUA LAKINI PIA WAKAWA WAMEANDIKA not yet KWA MAANA YA KWAMBA MAJINA YAMETUMWA CHUO NILICHOCHAGULIWA YAKAHAKIKIWE THEN WARUDISHE MAJINA. KAMA MAJINA YATAKUBALIWA NA CHUO NDIPO NTAKUWA NIMEPATA CHUO
 
NACTE ninashindwa ku-login kwangu, wenzangu kwenu mnaweza kuingia na kuona maendeleo hasa kwenye profiles zenu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…