Nacte siwaelewi jamani na wananichanganya

Joined
Sep 22, 2014
Posts
58
Reaction score
3
kwenye profile yangu nilikuwa nimeandikiwa "Be calm while processing your application.Incase any will notify via your email". Ss imetolewa na kubak waz
 
kwenye profile yangu nilikuwa nimeandikiwa "Be calm while processing your application.Incase any will notify via your email". Ss imetolewa na kubak waz

Mkuu haya mambo yanachanganya sana..kwakua wamesema hadi kesho j.3 mambo yatakua mazuri, Hebu tuvute subira tuone.
 
mm wameniandikia program pamoja na chuo nilichopelekwa. ila wanadai majina yametumwa vyuoni ili yakathibitishwe kwanza.
 
Hata mimi wametoa hicho kimeseji chao na hawakusema kama kuna chuo nimepelekwa au la.
 
Watakapotoa hayo majina kwa waliochaguliwa kwenda chuo pia wanatakiwa kutoa taarifa kwa wengine ambao wamekosa ili na wao wajijue wapo upande gani.... Ili mwenye kusuka na kunyoa ajijue ili maisha yaendelee! Ni hayo tu
 
kwenye profile yangu nilikuwa nimeandikiwa "Be calm while processing your application.Incase any will notify via your email". Ss imetolewa na kubak waz

hapo na uhakika vyuo ukivyoomba umevkosa so itabid uombe tena kesho watatoa maelezo so shaka ondoa mwaya
 
msiwe na wasiwas wote mtaenda tuu vyouni ndo wapo jikon sasa
 
Kwenye selection status wameandika notyet,hii ina maana gani jaman??wakati chuo tayari wameshakupangia
 
Kinachonipa wasiwasi kuna baadhi yetu wachache wamepata vyuo hii inakaaje?
 
Cheking in progess kama kawa,na machaguo yangu matano,matatu admission capasity zero,mbili,moja inataka watu 11 na nyingine watu 8.du?MIMI SIJUI.
 
Kinachonipa wasiwasi kuna baadhi yetu wachache wamepata vyuo hii inakaaje?

wachache wangapi? kwa idadi niliyo nayo mie watu zaid ya 10000 wamechaguliwa na kulikuwa na maombi zaidi ya 17000 na waliofanya maombi sahihi ni 15000 sasa ni wachache wangapi kwako?
Na hata ambao hawakapewa majibu Checking in progress bado wana nafasi ya kupata pengine ni machaguo tu hawakufanya sahihi na mpaka kufikia jtatu utaona mabadiliko ndi ahadi ya NACTE Hiyo.
 
Watakapotoa hayo majina kwa waliochaguliwa kwenda chuo pia wanatakiwa kutoa taarifa kwa wengine ambao wamekosa ili na wao wajijue wapo upande gani.... Ili mwenye kusuka na kunyoa ajijue ili maisha yaendelee! Ni hayo tu

Walio chaguliwa wanafahamu mbona kupitia kwenye profile yako. Kama hakuna bado checking in progress basi ujue labda kuna issue ya vigezo au taarifa zako sio sahihi wanafanyia verification. mie walinitumia email kuna cheti si kuweka nilipoload jana nikaona nipo selected.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…