Mh,title utata mtupu.... ungeandika T.I.A ingeleta unafuu aisee!!!!!!!
Mh,title utata mtupu.... ungeandika T.I.A ingeleta unafuu aisee!!!!!!!
Habari!
Naomba kwa anayeelewa anijuze ndugu zangu kama majina ya wanafunzi waliochaguliwa na NACTE T.I.A yametoka! Msaada..
Bado Dada angu, jaribu kuwa unatembelea Jf kwa taarifa zaidi.
dah ucjarindugu watatoa mimi mwenyewe nimechaguliwa hapo nimeangalia kwnye cmu na kupitia jamii forums tunawasiliana kama watu watatu hi mmoja kaomba kupitia nacte tutaftane 0788161180 ili tupeane taarifa.. tuko pamoja