R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 44,629 Reaction score 83,056 Nov 12, 2020 #1 Vijana hawajui fate yao na vyuo vinafuguliwa 16/11/2020. Huwezi kufanya lolote bila matokeo ya mitihani, tatizo liko wapi? CEO wa NACTE unafeli wapi?
Vijana hawajui fate yao na vyuo vinafuguliwa 16/11/2020. Huwezi kufanya lolote bila matokeo ya mitihani, tatizo liko wapi? CEO wa NACTE unafeli wapi?
Ibilisi JF-Expert Member Joined Jul 12, 2017 Posts 3,465 Reaction score 5,578 Nov 12, 2020 #2 Ni kweli. Dogo yupo tu nyumbani hatujui tufanye lipi! Hawajui maisha ya bongo ni kuganga njaa