Wana JF natumaini nyote hamjambo!
Naomba kueleweshwa kuhusu na wale walioomba special program ya Ualimu mbona majina hayatoka mpaka leo kuna nini NACTE au ndo uchakachuaji wa majina?
Ni muda umepita sasa...hivi majuzi NACTE walitoa tangazo kuwa ifikapo tar.06.09.2014 watatoa majina mpaka sasa hivi hakuna cha majina wala nini?
Heshima kwenu wakuu...
Naomba kueleweshwa kuhusu na wale walioomba special program ya Ualimu mbona majina hayatoka mpaka leo kuna nini NACTE au ndo uchakachuaji wa majina?
Ni muda umepita sasa...hivi majuzi NACTE walitoa tangazo kuwa ifikapo tar.06.09.2014 watatoa majina mpaka sasa hivi hakuna cha majina wala nini?
Heshima kwenu wakuu...