Inamaanisha bado hawajapata offical confirmation kutoka chuo husika.
dah! majanga yani selected ila hujui chuo gani na vyuo wanafungua next week? Nacte inadai kuna ku apply 2nd round kwa watakao kosa wakati kuna vyuo wanafungua tar 10!!
kuhusu 2nd batch naamini itakuwepo kwa baadhi ya vyuo mf udom nk ila kuna vyuo vingine hilo haliwezekani mfano hakuna uwezekano wa Ud kutoa 2nd Batch kwa BAED mana waliokwenda Hawa form six ni 1169 +1 wa equivalent jumla 1170
tcu guide book inaonesha uwezo wa chuo BAED ni watu 1170 kwa mahesabu rahisi ni kwamba hapo wameshamaliza.
Cha ajabu Nacte Inasema hadi j3 wa equivalent utaona profile inasema kuwa selected or not, wanasema majina yameshakwenda chuo kuhakikiwa ila bado selection kwa equivalent hazijatoka je hawa equivalent waliopata vyuo tangu last week wakiwa sambamba na form 6 je vyuo wamewapataje? Vyuo Vimewapataje hawa watu na kupitia vigezo vyao hatimae kuwachagua?!
NACTE NI MIZIGO. Period
Vyuo vikuu mitaala yake ni kwa ajili ya wanao toka A level kwa lugha ya kitaalamu inaitwa KBET yaani Knowledge Based Education Training na holder wa diploma isiochakachuliwa ni CBET Compitance Bases Education and Training. So kwa diploma kwenda huko ni ku violet mfumo wa elimu na unaenda vuruga hiyo elimu ya kazi. so unatakiwa kusoma CBET Ambayo inapatikana kwenye
vyuo vilivyo chini ya baraza NACTE.
Selected na chuo kipo mkuu sio kwamba hakipo yani kati ya vile vyuo ulivyochagua kimoja ndo wamekuachia then selection status wamekuandikia selected halafu comfirmation status wameandika not yet then kwa chin ndo wameandika be patientdah! majanga yani selected ila hujui chuo gani na vyuo wanafungua next week? Nacte inadai kuna ku apply 2nd round kwa watakao kosa wakati kuna vyuo wanafungua tar 10!!
kuhusu 2nd batch naamini itakuwepo kwa baadhi ya vyuo mf udom nk ila kuna vyuo vingine hilo haliwezekani mfano hakuna uwezekano wa Ud kutoa 2nd Batch kwa BAED mana waliokwenda Hawa form six ni 1169 +1 wa equivalent jumla 1170
tcu guide book inaonesha uwezo wa chuo BAED ni watu 1170 kwa mahesabu rahisi ni kwamba hapo wameshamaliza.
Cha ajabu Nacte Inasema hadi j3 wa equivalent utaona profile inasema kuwa selected or not, wanasema majina yameshakwenda chuo kuhakikiwa ila bado selection kwa equivalent hazijatoka je hawa equivalent waliopata vyuo tangu last week wakiwa sambamba na form 6 je vyuo wamewapataje? Vyuo Vimewapataje hawa watu na kupitia vigezo vyao hatimae kuwachagua?!
NACTE NI MIZIGO. Period
Selected na chuo kipo mkuu sio kwamba hakipo yani kati ya vile vyuo ulivyochagua kimoja ndo wamekuachia then selection status wamekuandikia selected halafu comfirmation status wameandika not yet then kwa chin ndo wameandika be patient