Ndugu zanguni Chonde chonde nisaidieni katika hili...
Naomba kujua kama NACTE wanaweza kusajili chuo kikuu kinachotoa degree, kwani katika kuperuzi website yao nimeona chuo kikuu cha ST. JOSEPH UNIVERSITY CAMPUS ambacho kwa taarifa zauhakika kinatoa degree 3yrs and 5yrs programe ila nimekiona kipo chini ya NACTE.
Ninapata mashaka km wanaosoma shahada hiyo ya kwanza ya ualimu(Bsc.Ed) hapo st. joseph km mwisho wasikuwatakuwa awarded degree kwakutambuliwa na TCU(kuhakiki uhalali wa degree na vyeti) na TAMISEMI(ajira)
Note: St. Joseph university Campus ya Arusha hakipo kwenye list ya vyuo vikuu vilivyosajiliwa na TCU.
MSAADA WENU WAKUU.
Naomba kujua kama NACTE wanaweza kusajili chuo kikuu kinachotoa degree, kwani katika kuperuzi website yao nimeona chuo kikuu cha ST. JOSEPH UNIVERSITY CAMPUS ambacho kwa taarifa zauhakika kinatoa degree 3yrs and 5yrs programe ila nimekiona kipo chini ya NACTE.
Ninapata mashaka km wanaosoma shahada hiyo ya kwanza ya ualimu(Bsc.Ed) hapo st. joseph km mwisho wasikuwatakuwa awarded degree kwakutambuliwa na TCU(kuhakiki uhalali wa degree na vyeti) na TAMISEMI(ajira)
Note: St. Joseph university Campus ya Arusha hakipo kwenye list ya vyuo vikuu vilivyosajiliwa na TCU.
MSAADA WENU WAKUU.