keshhy
Member
- Aug 12, 2011
- 13
- 1
Ephraim Kibonde, mtangazaji wa Clouds FM kipindi Jahazi.
Hivi, kuna mtu huwa anamuelewa anisaidie na mie kumuelewa!
Mie nadhani huwa anatumiwa na wanasiasa, si bure...
Nimefuatilia sana kipindi chake, huwa hana msimamo wake, leo anasimamia hili kesho anabadili msimamo.
Pengine mie ndo mgumu kuelewa, nisaidiwe tafadhari...!
[Sikiza Clouds sahv..]
Hivi, kuna mtu huwa anamuelewa anisaidie na mie kumuelewa!
Mie nadhani huwa anatumiwa na wanasiasa, si bure...
Nimefuatilia sana kipindi chake, huwa hana msimamo wake, leo anasimamia hili kesho anabadili msimamo.
Pengine mie ndo mgumu kuelewa, nisaidiwe tafadhari...!
[Sikiza Clouds sahv..]