Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]mtu akishajiingiza kwenye kuishabikia CCM wakati Wa kampeni basi huwa anapata laana automatic
dahYule mtu anayekupa ban aje fast leo umeniudhi
Muu unazinguaYule mtu anayekupa ban aje fast leo umeniudhi
mkuu hapa sijakuelewa vuzuri unakusudia kumaanisha kwamba_____________?????Lakini hili dudu la sasa hivi ni janga 120%
kumtetea kibakuli is a criminal offence, na hii ndio inasababisha linakuwa jinga vile halishughulishi akili kisa lina die hard fansMtoa mada mwambie aliekutuma hujatukuta, uje siku nyingine.
Kweli mbaazi ikikosa maua husingizia jua, kila msanii kakosa tuzo kwa sababu zake, kati ya sababu ilomfelisha mondi ni kukopy video za wenzie kwenye kidogodogo pale alichemka sana n hata mwenyewe alijistukia akaamua kutoa salome fasta fasta ili asikose tuzo bt alisahau kila baya moja hufuta mema elf na ilikua too late ajipange upya asubr mwakan, mwachen kiba wa watu apumue
mambo ya alikiba yanaingiaje kwenye tunzo?tuseme kwakuwa wiz na davido hawapatani basi wiz hakutakiwa kuchukua tunzo, au kabla ya kupewa tunzo waliulizwa kwanini hampatani eee, na ninani alimzimia mwenzie mic huko kenya eeeeeeeh....acha ushabiki maandazi kiba atabaki kuwa kiba na huyo bakuli atabaki na tarumbeta lake
Kwanza nianze kuwapongeza Wasanii wa TANZANİA ambao walifanikiwa kuingia katika kuwania tuzo za [HASHTAG]#MTVmama2016[/HASHTAG] kwa kuwa wamezidi kuizilishia Afrika kwamba sasa muziki wetu wa Tanzania Umepiga hatua kwa kiasi kikubwa sana kutoka kuwakilishwa na msanii mmoja mpaka wasanii zaidi ya watano ni bonge la hatua sana.
Pili napenda kumpongeza [HASHTAG]#Diamondplatinumz[/HASHTAG] kwa kuzidi kuwa ambassador namba moja wa muziki wa bongofleva ndio hata anbayo imesababisha leo hii tunawakilishwa na wasanii zaidi ya watano #BİGUP DİAMOND
Tatu kwa maoni yangu japo sıtaki nieleweke vibaya lakini ni katika kuhakikidha safari ijayo kwenye mashindano wasanii wetu wajifunze kuwa kitu kimoja hii itatusaidia kuzidi kufanya vizuri, Mimi naona kauli aliyoitoa Alikiba kuhusiana na meneja wa diamond akidai alimfanyia vitendo şi vya kiungwana ni miongoni mwa sababu kubwa iliyopelekea #TZ ikose tuzo yoyote.
Nne Kauli aliyoitoa #ALİKİBA ilijenga taswira kwa wapigaji kura wa afrika mashariki kwamba wasanii wa TZ hawana UNİTY mbaya zaidi ilitoka kipindi ambacho tulikuwa tukihitajika kupiga kura kwa sana lakini mambo yakawa Tofauti mwisho wa siku kila Timu ilikuwa ikimsapoti msanii wake pekee.
Tano hili lilitokea liwe funzo kwa wasanii wetu lakini natoa wito kwa wasanii na sisi mashabiki tujifunze kuungansha nguvu zetu na kumaliza [HASHTAG]#BEEF[/HASHTAG] pindi inapofika wakati wa mashindano ya kimataifa pia wasanii wetu muanze kutafuta Collabo zenye kuwajenga kimuziki ila [HASHTAG]#Alikiba[/HASHTAG] punguza collabo za ndani tuletee za nje, Diamond rudisha mahusiano yako na wasanii wakubwa wenzio kama #WİZKİD #DAVİDO
Sita kuhusu kushindwa kwa wasanii wengine kama [HASHTAG]#VANESA[/HASHTAG] [HASHTAG]#RAYMOND[/HASHTAG] [HASHTAG]#NAVYKENZO[/HASHTAG] hawa bado wachanga na hawajajitangaza vizuri kinataifa ukilinganisha na waliokuwa washindani wao ongezeni bidii mwakani tuchukue
[HASHTAG]#kijanamzalendo[/HASHTAG] [HASHTAG]#ilovetz[/HASHTAG]. [HASHTAG]#maoniyangu[/HASHTAG]
mtu akishajiingiza kwenye kuishabikia CCM wakati Wa kampeni basi huwa anapata laana automatic
Agiza "breakfast "ya nguvu nakuja kulipa... mnyonge mnyogeni haki yake mpeni... King atakuwa King tu..!Kumbe ni baada ya mda, yeye atakua ametulia akisubili wawe level moja ama itakuwaje? Naomba usimfananishe King na vitu vya kijinga.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Huyu ni mji kati ya wajinga na ni kichaa kati ya watu wa NNE bongoMtoa mada mwambie aliekutuma hujatukuta, uje siku nyingine.
Kweli mbaazi ikikosa maua husingizia jua, kila msanii kakosa tuzo kwa sababu zake, kati ya sababu ilomfelisha mondi ni kukopy video za wenzie kwenye kidogodogo pale alichemka sana n hata mwenyewe alijistukia akaamua kutoa salome fasta fasta ili asikose tuzo bt alisahau kila baya moja hufuta mema elf na ilikua too late ajipange upya asubr mwakan, mwachen kiba wa watu apumue
Mtoa mada mwambie aliekutuma hujatukuta, uje siku nyingine.
Acheni kumlaumu kiba Wa Nigeria wametuzidi kimuziki diamond hafiki hata robo kwa wizkid anayejulikana Africa, Same to Vanessa hakuti kiwango cha Yemi, pia rayvann Ku compete na Techno mzee wa duro napo ni sawa na Ku compare mbingu na ardhi, hao Yamoto hata cjui wanajulikana hata Sudani. Wasanii wajipange tu wanaija na south level nyingine