Pre GE2025Nadhani Mchango kwa Lissu ulihitajika zaidi siku alipopigwa risasi maana ile haikuwa Siasa, ashukuriwe Mbunge wa CCM Zanzibar aliyemkodia Chopa!
Hiii michango ya akina Maria Sarungi na Amos ni Siasa za kutwezana tu
Kama ni michango ya CCM kwa Tundu Lisu basi ilishatolewa na yule Mbunge wa CCM Zanzibar aliyemkodia Chopa kadhalika Rais Samia na Hayati Mzee Mwinyi walipokwenda hospital Nairobi Kenya kumjulia hali
Hawa akina Maria Sarungi wanaleta Siasa uchwara tu
Kutoa misaada ya kibinadamu ni Ibada ndio sababu hawa Waislamu niliowataja hawajawahi kujitangaza na kujisifu popote