duh huyo guberi ndo anakufaa, utakuwaje na binti then umle mama yake?????
uo utam unaojisifia wangekuja wenyewe kuthibitisha ndo ingekuwa poa sana.
usisubiri mpaka jpili. maliza utamu wote leo
.hilo pumziko la wabunge liko aje?
Duhhhh nimesoma hiyo paragraph ya kwanza tu hisia zote zimerudi kwenye kitabu
Kitamu ambacho ndo Nimemaliza kukisoma
MAJERUHI WA PENZI by Mzee Mwanakijiji.
What a brilliant book ..
mmmh! kwakweli nimeipenda,andika hicho kitabu nami nitakuwa m1 wao mkuu.big up bro
Malipo ni hapa hapa... namaanisha duniani, nikakutana na guberi haswaaa, pumziko la wabunge, hakianani ......
Naomba niendelee next Sunday!
Asikuambie mtu, unaweza kudhani uko smart sana, yaani na experience yako yote ukanasa pasipo. Kuna mashetani ndani ya majoho ya malaika, mbwa mwitu ndani ya ngozi za kondoo. Ila omba usife kabla hujakutani nao. Its a life lesson!
usisubiri mpaka jpili. maliza utamu wote leo
.hilo pumziko la wabunge liko aje?
du! mimi interest yangu ni kwa huyu pumziko la wabunge,
wa huko nyuma inaonekana wewe ndio ulikuwa unawatenda.
mwaga story za huyu kiboko yako.
Mmmmmmmmmmmmh
TGNP
Story inasisimua, natamani kujua itaishiaje.