Nadhani Mzee Wassira amesahau kuwa Nauli ya Nyerere kwenda UN kudai Uhuru ilitolewa na babake Freeman Mwenyekiti mstaafu wa Chadema!

Nadhani Mzee Wassira amesahau kuwa Nauli ya Nyerere kwenda UN kudai Uhuru ilitolewa na babake Freeman Mwenyekiti mstaafu wa Chadema!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Tunamkumbusha tu Mzee Wassira Kiongozi wetu kipenzi hapa CCM kwamba Mzee Aikael Mbowe asingetoa Nauli huenda Zanzibar ingepata Uhuru kabla ya Tanganyika

Ahsanteni
 
Tunamkumbusha tu Mzee Wassira Kiongozi wetu kipenzi hapa CCM kwamba Mzee Aikael Mbowe asingetoa Nauli huenda Zanzibar ingepata Uhuru kabla ya Tanganyika

Ahsanteni
Huyu Mbowe akietukanwa na kudhalilishwq na akina Lema? Kama nyinyi hamjui thamani ya Mbowe hadi kumzushia kila uchafu, wengine watajua thamani ya baba yake Mbowe?
 
Baada ya Rais Kikwete atakuja Rais mweusi mchapa kazi, hata hivyo ataongoza kwa kipindi kifupi, ndipo Tanzania itapata Rais mwanamke na baada ya hapo Upinzani utachukua nchi,”… Sheikh Yahaya"
 
Huyu Mbowe akietukanwa na kudhalilishwq na akina Lema? Kama nyinyi hamjui thamani ya Mbowe hadi kumzushia kila uchafu, wengine watajua thamani ya baba yake Mbowe?
Wewe ndio ulikuwa unaongoza matukano hapa ukumbini ukimtusi Lisu Kwa niaba ya Mbowe 🐼
 
Dad's mnatuchanganya mbona Said anasema pesa alitoa Duli Sykes.
 
Baada ya Rais Kikwete atakuja Rais mweusi mchapa kazi, hata hivyo ataongoza kwa kipindi kifupi, ndipo Tanzania itapata Rais mwanamke na baada ya hapo Upinzani utachukua nchi,”… Sheikh Yahaya"
Utabiri uchwala huu
 
Tunamkumbusha tu Mzee Wassira Kiongozi wetu kipenzi hapa CCM kwamba Mzee Aikael Mbowe asingetoa Nauli huenda Zanzibar ingepata Uhuru kabla ya Tanganyika

Ahsanteni
Acha kutuingiza chaka, wana TANU ndo tulimchangia Nyerere wenu.
 
Huyu Mbowe akietukanwa na kudhalilishwq na akina Lema? Kama nyinyi hamjui thamani ya Mbowe hadi kumzushia kila uchafu, wengine watajua thamani ya baba yake Mbowe?
Naona umeritadi,Mbowe huyu uliyekuwa unamuita kafir leo amekuwa kipenzi chako. Hela nyoko sana hapo kula nguruwe tu.
 
Back
Top Bottom