Nimeona wengi wakitafuta wapenzi na mimi upweke umenichosha.Mwanamke yoyote anaehitaji mume nipo hapa.Umri wangu 29.Sijali umri,dini wala elimu.Kazi yangu ni mbeba mizigo,natumia mkokoteni.Kama utaona sikufai pita usikwazike.Nina mapenzi ya kweli,kama unataka mume wa kweli ni pm tafadhali.
ukipata matatizo kwenye uhusiano wa ndoa unalaumu wanawake wa siku hizi unadhani njia uliyotumia ni sahihi kutafuta mchumbaNimeona wengi wakitafuta wapenzi na mimi upweke umenichosha.Mwanamke yoyote anaehitaji mume nipo hapa.Umri wangu 29.Sijali umri,dini wala elimu.Kazi yangu ni mbeba mizigo,natumia mkokoteni.Kama utaona sikufai pita usikwazike.Nina mapenzi ya kweli,kama unataka mume wa kweli ni pm tafadhali.
Yaani niliposoma tu hili tangazo lako, moyo wangu woteee umekufa juu yako! nimekuzimikia jumla, nahisi una mapenzi ya kweli na unajiamini. Tatizo katika karne hii ya digital tutaishije bila king'amuzi, gari, nyumba, elimu dunia, loooooo niko njia panda.
Subira ni njia mojawapo ya mafanikio,hivyo tulia na kila kitu kitakuwa sawa.Mbon sjapata hat m1 mpka mda huu?
haya bwana nitakutafuta
haaaaahaaaaaa ucnichekeshe mbona unamashart hivyoUlivyojibu hapo "Ilikuwa asubuhi ikawa jioni siku ya mwisho"
haaaaahaaaaaa ucnichekeshe mbona unamashart hivyo