Nadhani ni ngumu sana kuja kuondoa mindsets za kitumwa katika akili ya mwafrika labda dunia iumbwe tena

Nadhani ni ngumu sana kuja kuondoa mindsets za kitumwa katika akili ya mwafrika labda dunia iumbwe tena

wakunyonya

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2024
Posts
520
Reaction score
1,414
Afrika ni Moja ya bara ambalo tumeathiliwa zaidi na Tawala za kikoloni kuliko mabara mengne kama Asia mfano China, India n.k

Athari za utawala wa kikoloni Kwa wafrica siyo tu katika tamaduni na uchumi Bali hata katika uwezo wa kufikiri.

Waafrica ktk mindsets zetu Bado hatuamini uwezo tulio nao tofauti na wenzetu kama wachina,Wahindi ambao licha ya kutawaliwa Bado wanaamini wao ni Bora.

Ndio maana sio rahisi Mwafrica kuamini products za ndani katika nchi yake akiamini ni bidhaa duni ukiona amenunua hiyo product ujue Hamna mbadala wa bidhaa kutoka nje.

Wafrica Bado tuna amini wale walio tutawala ndio viumbe bora zaidi ndio maana sio rahisi kujitoa katika utumwa wa kifikra tulio nao tofauti na wenzetu wa mabara mengine ambao tulipita katika shuruba Moja ya kutawaliwa.
 
Tatizo hamjui mlipokosea ; ni hivi tatizo kubwa ni elimu iliyoachwa basi ,elimu ndo imebeba tamaduni zote ukifuta elimu tangu awali tungekuwa na njia yetu kwa sababu kwa sasa tunasoma ili tuwe kama wazungu.

Nafikiria mtakuja kuwaelewa Taliban ,walibadilisha elimu ile ya mzungu baada ya kumuondoka kwa sababu wao wana mila zao .kwa hiyo mpaka wapange mitaala yao kwanza kuendelea na mitaala ile ni kuendelea kuzalisha vibaraka ndani ya nchi yako.​
 
Tatizo hamjui mlipokosea ; ni hivi tatizo kubwa ni elimu iliyoachwa basi ,elimu ndo imebeba tamaduni zote ukifuta elimu tangu awali tungekuwa na njia yetu kwa sababu kwa sasa tunasoma ili tuwe kama wazungu.

Nafikiria mtakuja kuwaelewa Taliban ,walibadilisha elimu ile ya mzungu baada ya kumuondoka kwa sababu wao wana mila zao .kwa hiyo mpaka wapange mitaala yao kwanza kuendelea na mitaala ile ni kuendelea kuzalisha vibaraka ndani ya nchi yako.​
Nadhan mpka hapa tulipo fika ni ngumu San kufanya hizo changes, wenzetu wachina na Wahindi walishtuka mapema.
 
Ndio maana sio rahisi Mwafrica kuamini products za ndani katika nchi yake akiamini ni bidhaa duni ukiona amenunua hiyo product ujue Hamna mbadala wa bidhaa kutoka nje.
Huo ndo ukweli bidhaa za Afrika ni duni mnoooooooooooo!!!!
 
Ila bado haiondoi ukweli kuwa bidhaa za wenzetu nyingi ni bora kuliko zile tunazozalisha wenyewe.
 
Afrika ni Moja ya bara ambalo tumeathiliwa zaidi na Tawala za kikoloni kuliko mabara mengne kama Asia mfano China, India n.k

Athari za utawala wa kikoloni Kwa wafrica siyo tu katika tamaduni na uchumi Bali hata katika uwezo wa kufikiri.

Waafrica ktk mindsets zetu Bado hatuamini uwezo tulio nao tofauti na wenzetu kama wachina,Wahindi ambao licha ya kutawaliwa Bado wanaamini wao ni Bora.

Ndio maana sio rahisi Mwafrica kuamini products za ndani katika nchi yake akiamini ni bidhaa duni ukiona amenunua hiyo product ujue Hamna mbadala wa bidhaa kutoka nje.

Wafrica Bado tuna amini wale walio tutawala ndio viumbe bora zaidi ndio maana sio rahisi kujitoa katika utumwa wa kifikra tulio nao tofauti na wenzetu wa mabara mengine ambao tulipita katika shuruba Moja ya kutawaliwa.
Usizungumzie mwafrika zangumzia mtanzania... South Africa jawana ujinga huu. Hata Kenya wanajitahidi. Ila Tanzania sasa mru akiwa hata Msudan tu na sijataja hapo Mkenya au Mrwanda, ananyenyekewa katika kila kitu na kupewa fursa kila mahali...
Mungu atusaidie
 
Ila bado haiondoi ukweli kuwa bidhaa za wenzetu nyingi ni bora kuliko zile tunazozalisha wenyewe.
Kwenye mindsets yko mfano ukizoea kula chakula Cha mkeo akija mtu mwingine kukupikia hata apike vinzur vipi zaid ya mkeo itakuchukua mda San kuzoea mapishi ya huyo mtu. Ndivyo tulivyoathiriwa waafrica tushazoea vya nje siyo rahisi kuivizoea vyetu.
 
Afrika ni Moja ya bara ambalo tumeathiliwa zaidi na Tawala za kikoloni kuliko mabara mengne kama Asia mfano China, India n.k

Athari za utawala wa kikoloni Kwa wafrica siyo tu katika tamaduni na uchumi Bali hata katika uwezo wa kufikiri.

Waafrica ktk mindsets zetu Bado hatuamini uwezo tulio nao tofauti na wenzetu kama wachina,Wahindi ambao licha ya kutawaliwa Bado wanaamini wao ni Bora.

Ndio maana sio rahisi Mwafrica kuamini products za ndani katika nchi yake akiamini ni bidhaa duni ukiona amenunua hiyo product ujue Hamna mbadala wa bidhaa kutoka nje.

Wafrica Bado tuna amini wale walio tutawala ndio viumbe bora zaidi ndio maana sio rahisi kujitoa katika utumwa wa kifikra tulio nao tofauti na wenzetu wa mabara mengine ambao tulipita katika shuruba Moja ya kutawaliwa.
Mtaalamu wa Kunyonya.
 
Usizungumzie mwafrika zangumzia mtanzania... South Africa jawana ujinga huu. Hata Kenya wanajitahidi. Ila Tanzania sasa mru akiwa hata Msudan tu na sijataja hapo Mkenya au Mrwanda, ananyenyekewa katika kila kitu na kupewa fursa kila mahali...
Mungu atusaidie
Hapo Kenya kinacho fanywa ni kuzuia product ya nje ambyo ndani inazalishwa ila kuzuia competition Kwa bidhaa za ndani na ndivyo inavyotakiwa la sivyo products za ndani zingefeli kuuzika, ila Tz haya mambo hamna
 
Kwenye mindsets yko mfano ukizoea kula chakula Cha mkeo akija mtu mwingine kukupikia hata apike vinzur vipi zaid ya mkeo itakuchukua mda San kuzoea mapishi ya huyo mtu. Ndivyo tulivyoathiriwa waafrica tushazoea vya nje siyo rahisi kuivizoea vyetu.
Bidhaa za ndani kiubora nyingi ziko chini kubali kataa.
 
Back
Top Bottom