Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Wapo wachezaji wanaozeeka na mpira wao mguuni, kwa mfano Zidane. Lakini wapo ambao mpira hupotea kulingana na umri . .
Kagere enzi zake alikuwa mtu hatari sana , anakufunga katika impossible angles. Kwa Sasa umri umekuwa ni kikwazo kwake ... Hivyo anatakiwa ku staafu kiheshima.
Kqgere wa sasa amekuwa ni mzururaji , anadonoa donoa kama kuku wa Kienyeji na hana madhara kwenye pitch. Kwa Mfano leo , amekosa magoli ya wazi , kwenye mechi za kimataifa... hii kitu haitakiwi.
Nadhan uongozi wa SSC .. ifike pahala waachane nae na waangalie mtu ambaye atafaa kwa replacement au wafanye usajili
Mpira ni biashara, kukosa magoli unnecessarily ni sawa na kukataa wateja kwenye biashara, ni HASARA.
Kagere apumsishwe..:.. wakati wake umefika
Kagere enzi zake alikuwa mtu hatari sana , anakufunga katika impossible angles. Kwa Sasa umri umekuwa ni kikwazo kwake ... Hivyo anatakiwa ku staafu kiheshima.
Kqgere wa sasa amekuwa ni mzururaji , anadonoa donoa kama kuku wa Kienyeji na hana madhara kwenye pitch. Kwa Mfano leo , amekosa magoli ya wazi , kwenye mechi za kimataifa... hii kitu haitakiwi.
Nadhan uongozi wa SSC .. ifike pahala waachane nae na waangalie mtu ambaye atafaa kwa replacement au wafanye usajili
Mpira ni biashara, kukosa magoli unnecessarily ni sawa na kukataa wateja kwenye biashara, ni HASARA.
Kagere apumsishwe..:.. wakati wake umefika