Nadhani Raila Omolo Odinga anahitaji kupimwa Choo chake haraka sana!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hakuna Mtu ambaye nilikuwa namuheshimu nchini Kenya kama aliyekuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya Umoja wa Vyama wa NASA kama Raila Omolo Odinga ila kwa Kitendo chake cha Kipumbavu alichokifanya jana huko nchini Kenya natangaza rasmi kuanzia leo Mimi GENTAMYCINE kumdharau na kumpuuza huku nikimuwashia taa ya Kijani Rais President Elect Uhuru Kenyatta na pia nikiwapongeza Wakenya wote wenye akili na wapenda Maendeleo waliomchagua.

Huku Kwetu Tanzania tuna utaratibu wetu ambao Mtu akikengeuka / akikosea katika maamuzi au matamshi yake basi haraka sana hupelekwa kwa Mkemia Mkuu kupimwa Mkojo / Susu yake ili kujua kama Kichwani mwake zinamtosha au zimemponyoka hivyo nichukue nafasi hii kuwaombeni pia Wakenya kuwa sasa nyie badala ya kumpima Raila Omolo Odinga Mkojo basi nyie nendeni mbele zaidi mkampime Choo chake / Nnya yake / Makimba yake kwani yawezekana ana matatizo makubwa ambayo Vipimo vya Mkemia wenu vinaweza visivione katika Mkojo wake.

Na kama kuna Mkenya yoyote yule ambaye kweli eti leo ameacha kwenda Kazini kuwajibika ili kujiletea Maendeleo yeye, Familia yake na nchi ya Kenya kwa ujumla kwa kutii tu amri ya Mpuuzi / Ngumbaru mmoja tu ambaye mnamuita Baba basi nitawadharau mno Wakenya ambao siyo Siri mnasifika mno kwa kuwa Wapenda Maendeleo hapa Afrika ya Mashariki.

Ewe Raila Omolo Odinga jifunze kuwa na adabu Kenya siyo ya Baba wala Mama yako bali Kenya ni ya Wakenya wote ambao kwa bahati nzuri sana mnamo tarehe 8 August 2017 hawakutaka ujinga / ungumbaru wala upumbavu / upopoma kwa kupoteza muda wao Kukuchagua Wewe Mkorofi na badala yake wamemchagua Mtu ambaye hana Chuki wala Hila / Ngendembwe President Elect Uhuru Kenyatta.

Afrika ya Mashariki hatutaki machafuko bali tunataka sasa mafuriko ya Maendeleo ili na sisi tuweze kushindana na wale waliotuacha muda mrefu na ambao sasa tunawaomba tu misaada kila uchao wakati sisi tuna Rasilimali ambazo kwa Umoja wetu tu tukizitumia vizuri tunaweza kuwa donor countries kwa nchi zote zilizopo duniani.

Najua na nina uhakika tena wa 100% kuwa message sent and delivered.

Nawasilisha.
 
Kweli jamaa ni chizi ndio maaana Jomo Kenyata alikua anamchana live baba yake

sio kosa la laila ni kosa la DNA zake
 
Kweli jamaa ni chizi ndio maaana Jomo Kenyata alikua anamchana live baba yake

sio kosa la laila ni kosa la DNA zake

Huyu Mzee kaniudhi to the maximum Mkuu. Hivi kweli kwa Mtu mwenye akili timamu, zilizotukuka na zinazomtisha kabisa anaweza katika Karne hii ya Kimaendeleo kuthubutu kuwaambia Watu wake kuwa wasiende Kazini? Hivi huyu Mtu hawezi pia kuwataka Watu wake wasibanduane / wasingonoke / wasifanye mapenzi? au kama akiachwa hivi hawezi siku moja pia akawataka Watu wake kuwa wasijisaidie hata kwa wiki moja ili kuonyesha ukakamavu / ukomavu Wao.

Nilikuwa nampenda ila nimemchukia rasmi.
 
mimi Binafsi sijawahi kumuamini kwani Odinga's ni vibaraka wa Serikali Tawala wanajua kabisa hakuna siku Nchi itakuja kuongozwa na ODM under NASA na wanajua wao ni permanent opposition 100%
What they are doing now is what they have been doing since Jaramongi Oginga Odinga.

Anafollowers wengi wasio fikiria sana na waliojawa Chuki na Ukabira.

Mukulu wetu ameona alikua ana msupport mtu gani na yeye nadhani wanafanana sana
ndio maana hata makinikia yanatutoa jasho kwa sasa
 
Naona umeamua kuharisha!!!! Uzi wa hovyo kabisa huu!!!! Huwezi kumdhalilisha Odinga kiasi hiki!!!!
Odinga is a most famous honorable respected legendary leader!!!
Ni haki yake kuitafuta haki yake Kwa namna ambayo itamfaa, ameibiwa kura huyu!!!!! Sasa ulitarajia akae kimya huku wakenya wamedhulumiwa haki ya kumpata Kiongozi wao halali!!!
You deserve a long term ban!!!! Moderators angalia huyu member!!! Atendewe haki yake ya ban!!!
 

Waliomfahamu Raila vizuri, walimbatiza kitambo 'Lord of Violence' na 'Lord of Poverty'.

Lord of violence kwa sababu yeye hutumia nguvu kupanda ngazi. Ako na uwezo wa kuambia wafuasi wake waache vita, lakini hajawai ata jaribu. Na hii ni kutoka miaka ya 1980. 1982 alijaribu kugeuza serikali ya Moi (coup). Akawekwa detention na kudanganya wakenya kwamba alifungwa kwa sababu ya kupigania demokrasia.
On Sunday, mambo ilikuwa imeanza kutulia Kibera. Alipanda gari na kuandamana na wabunge wachache, akaenda huko kuwachochea (incite) zaidi.
Raila anataka nusu mkate.

Lord of Poverty kwa sababu yeye hutaka wafuasi wake wabaki fukara, ili aweza kuwacontrol. Anajua vizuri kwamba watu wanaojiweza hawawezi kumpigania.
Sunday alidhihilisha vizuri alipowaambia wafuasi wake wasiende kazi leo.
Wafuasi wake wanatabia ya kuvamia maduka, supermarkets, masoko na kuiba bidhaa au kuchoma. Raila hajawai ata mara moja simama na kuwaambia waache.
 

Raila ni conman, muuaji na mwizi.
Aliwekwa detention after kujaribu kugeuza serikali ya Moi 1982. Akatudanganya alikuwa anapigania demokrasia.
2007 watu walipokuwa wanauana, ata hakujaribu kutuliza moto. Alikataa kabisa kuambia wafuasi wake waache vita. In short, alikuwa Prime Minister juu ya maiti 1200.

Huu mwaka, Raila hajaibiwa kura. Kila mtu aliye na akili anajua hivyo. Ndio maana ata makamu wake Kalonzo Musyoka amenyamaza. Wanaopigana tu ni Jaluo hooligans.
Alafu ni upuzi kusema ulishinda, ilhali Uhuru alipata majority ya kila kitu. Kutoka MCA, MP, Senator, Governor, Women rep.
Wataka kutuambia watu walichagua Jubilee hapa chini, lakini wakachagua Raila hapo juu?

Finally, kama Raila anatafuta haki, hio haki haiko Kibera au Mathare. Hio haki iko kwenye courts of law. Raila anachochea wafuasi wake ili walete vurugu apate kuwa Prime Minister tena.

Mwisho kabisa, ata wale marafiki wake wazungu washamtambua Raila. Saa hii hana marafiki popote isipokuwa Magufuli.
 
It's really unfair kwa anayoyafanya. Katiba ya Kenya iko wazi kabisa kuwa mtu anayo haki ya kuhoji matokeo ya uchaguzi mahakamani na anapewa siku 14 ili kufanya hivyo. Huyu. Wana alilalamika kwenye tume wakahesabu kura tena na bado ana siku 14 za kuomba uhakiki mahakama kuu. Sasa kwanini ana incite watu walete fujo wakati anayo nafasi bado!? Dalili za kutumia bangi ziko kama haya anayoyafanya huyu bwana!!!!
 
Relax umepanic ni chungu lakini ni dawa,ukiitumia vizuri utapona tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilimsikia akisema aamini mahakama .. that means anaamini njia nyinginekama hizi anazo amasisha
 
Bahati mzuri nimeufuatilia uchaguzi ule bila ya mahaba wala kuegemea upande lakini siku za mwisho za kuelekea upigaji kura kama ningalikuwa ni Mkenya mimi na Familia yangu kura zote tungempigia Kenyata na Ruto.

Hawa jamaa ni wanasiasa wa kweli na i promise you, Ruto ndio next President after Uhuru Kenyatta.

kuhusu kupimwa choo, wa kupimwa choo ni wale watu wenye ajira zao rasmi na kweli wakamsikiliza frustreted politician kama Raila Odinga, uchaguzi wa Kenya ulikuwa huru na wa haki, Odinga amepata sapoti kubwa kwenye majiji na akamchapa vilivyo Uhuru Kenyatta lakini hadithi ni ileile kama ilivyo Tanzania Uhuru Kenyatta amepigiwa kura na Wakenya wote hasa wa mashinani ndio ukakuta majumuisho ya jumla ameibuka mshindi.

kuongoza Kisumu kwa wajaluo na Mombasa kwa mamwinyi ambao aliwaahidi kitu si sababu ya kushinda kura za jumla na ndio maana Jubilee wameshinda county nyingi.

nilichokiona mimi kwa Odinga wale aliokuwa anawahutubia wagome kazi leo ni majobles na macasual labour tu hawana cha kupoteza.

ni aibu kwa Dunia nzima kuisifu tume ya uchaguzi ya Kenya halafu Nyang'au mmoja tu Odinga ati anadai kaibiwa kura, ni kura zipi hizo? mbona matokeo ya majiji yote Nairobi, Kisumu, Mombasa yamedisplay ameongoza yeye? kwa nini wasimchakachuwe? ni kwa nini hajiulizi Maiko Sonko wa Jubilee ameshinda ugavana wa Nairobi na yeye Raila wa NASA ameongoza kura za Urais kwa wapiga kura hao hao?

namsihi Rais wetu Magufuri ajitenge na mroho huyu au amshauri kama rafiki dunia nzima iko nyuma ya Wakeynya na siyo nyuma ya mlafi mmoja Odinga, na kama haitoshi Barrack Obama atahudhuria sherehe za kuapishwa Gentleman Uhuru Kenyatta, wenye masikio yetu tumemsikia very clear Kenyata akihutubia kuwaunganisha Wakenya na Odinga akitaka kuleta hali ya taaruki. apuuzwe, ile ICC ikaweke kambi Kenya ili vibaka kama hawa kina Odinga washughulikiwe immediately.

Natowa wito pia kwa President elect Uhuru Kenyatta aje kwa Magufuli kupata ushauri jinsi ya kudeal na watu watukutu nadhani atampatia ushauri maridhawa kabisa na Raila atarudi kwenye akili zake timamu.
 
Huyu jamaa anataka Vita na vurugu ili apate madaraka ya rais kwa kutumia nguvu. Hata Mimi hapo mbeleni nilikuwa nikimuunga mkono walakin Sasa nimebadirika. Kila objective independent observar amesema uchaguzi ulikuwa wa ukweli na wa haki. Na hata tukikubali tuseme zile servers zilikuwa hacked....Kuna zile forms kwa Kila polling station ambazo zilitiwa sahihi na waakilishi wake kuonyeza wamekubali na hiyo matokeo. Hizi ndizo Electoral body imetumia kupeana final results...je hizi nazo atasema Nini? Hi ni upumbavu...na nawasihi ndugu zangu wakenya, Huyu mtu anataka kuangamiza nchi ..mjihadhari sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya ina katiba nzuri sasa ambayo inaruhusu kupinga matokeo ya Urais Mahakamani...sasa Raila amechemka kujitokeza mitaani na maandamano na tamko la kutokwenda kazini leo.... aende mahakani huyu mzee bure kabisa.

Nakubaliana na ninyi wakuu GENTAMYCINE kennedy0000
 
Mda mwingine haki ina patikana kwa maamuzi magumu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We will not allow our President Magufuli to torelent stupid person like Raila Odinga. Dunia nzima tumeshuhudia uchaguzi wa Kenya ulikuwa huru, wazi na haki, na international reliable obsevers wote wamesifu uchaguzi wa Kenya na iko habari Barrack Obama atahudhuria kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta.

Huyu Raila Odinga he will endup in jail dunia imebadirika sana hakuna hifadhi tena kwa wauwaji kama yeye, akae ajiulize ni kwa nini kina Kalonzo Musyoka wamekaa kimya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…