Unajua hii ni media ila ingekuwa ni tanzania tungeshakimbizana nao.....na hawa sio kwamba wana mzalilisha obama. Hata bush alichorwa vibaya sana........kama ulishawahi kusikia wimbo wa bushi akiimba na blair na blair walimpotray kama mwanamke......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.